Nime ku pm lin mkuu download telegram afu bofya link ioo pm..
Dhambi njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nitumie link mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nime ku pm lin mkuu download telegram afu bofya link ioo pm..
Dhambi njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeprove hilo?
I agree to disagreeHata kama unataweka kuiweka hiyo tafsiri yako iwe ndio ukweli halisi lakini haikuwa biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukaahaba hauko nchi masikini tu hata Ulata wapo Makahaba. Niliwahi kuwa India jiji la Bangalore, nikiwa kiwanja nikakutna na mabinti wa Kihindi wanaojiuza! Kwa kweli ilkuwa mshikemshike!
Yale maeneo ya Oysterbay jirani na Maisha Club kulikuwa na kijiwe cha hao madada poa. Siku moja Mzungu mmoja alimchukua mdada poa lakini hakumlipa kama walivyoelewana! Yule dada alivunja kioo cha mbele cha gari ya yule Mzungu kwa chupa ya bia. Lile suala likapelekwa Polisi, mdada akawa anamhoji yule Mzungu kwa Kiingereza, askari polisi walibaki mdodmo wazi kuona mdada anaongea Kiingereza vizuri!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yale maeneo ya Oysterbay jirani na Maisha Club kulikuwa na kijiwe cha hao madada poa. Siku moja Mzungu mmoja alimchukua mdada poa lakini hakumlipa kama walivyoelewana! Yule dada alivunja kioo cha mbele cha gari ya yule Mzungu kwa chupa ya bia. Lile suala likapelekwa Polisi, mdada akawa anamhoji yule Mzungu kwa Kiingereza, askari polisi walibaki mdodmo wazi kuona mdada anaongea Kiingereza vizuri!
Ukaahaba hauko nchi masikini tu hata Ulata wapo Makahaba. Niliwahi kuwa India jiji la Bangalore, nikiwa kiwanja nikakutna na mabinti wa Kihindi wanaojiuza! Kwa kweli ilkuwa mshikemshike!
Yale maeneo ya Oysterbay jirani na Maisha Club kulikuwa na kijiwe cha hao madada poa. Siku moja Mzungu mmoja alimchukua mdada poa lakini hakumlipa kama walivyoelewana! Yule dada alivunja kioo cha mbele cha gari ya yule Mzungu kwa chupa ya bia. Lile suala likapelekwa Polisi, mdada akawa anamhoji yule Mzungu kwa Kiingereza, askari polisi walibaki mdodmo wazi kuona mdada anaongea Kiingereza vizuri!
Mkuu nami.naomba unipm link ya telegram plsNime ku pm lin mkuu download telegram afu bofya link ioo pm..
Dhambi njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watalipia kodi it means watakuwa wamerasimishwa kiasi ambacho wataweza kupata haki ya kulindwa... Sasa hapa pia itabidi tu na wateja wawe wanapimwa endapo tu watapewa eneo ambalo huduma ya upimaji itakuwa 24/7.