Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,965
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] aiseeKuzuia ngono ni kazi kubwa, maana hata mzuia ngono na yeye anatamani apewe ofa hata round moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] aiseeKuzuia ngono ni kazi kubwa, maana hata mzuia ngono na yeye anatamani apewe ofa hata round moja
Atakuwa anatoa receipts kwa wateja. Pia kwa kuwa amejisajili kwenye chama chao atakuwa anatambulika?
Kuna ugumu wowote hapo?
Ila mkuu hujalazimishwa kununua... Waache tu kila MTU na maisha yake hao wameamua kutokuwa wanafki yofauti na wengine ambao wapo na kazi nyingine lakini hupewi tunda mpaka uwahonge...Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.
Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.
Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?
Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.
Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?
Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Huwezi ukaizuia biashara kama hiyo, wateja ni wengi sana, hata ungekuwa Rais wa nchi usingeweza labda ungedhibiti mikusanyiko lakini migegedo ingekuwepo tu, labda bar zifungwe ili serikali ikose mapatoNilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.
Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.
Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?
Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.
Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?
Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Use your brain man. Usinichoshe na maswali yako yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Mmoja kumtext mambo akareplyHuko bao moja unaambiwa elf 30
Use your brain man. Usinichoshe na maswali yako yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Hiyo ni ngumu. Basi kama ndio hivyo wale machangudoa wanaokamatwa na kupelekwa polisi wanaonewa
Kwa taarifa yako tu "Ukahaba" ndio proffesional ya kale zaidi..ikitanguliwa na "ushushushu.."
hii ndo biashara ya kwanza duniani kuanza kufanyika unaizuiaje ?
Biashara ya pili kuwepo kwa mda mrefu zaidi duniani ni ukahaba ikitanguliwa na ya ushushushu..sioni cha ajabu hapo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Isipozuia wewe unapata hasara gani?
Au wakizuia wewe utapata faida gani?
Tunashindwa kufanikiwa kwa kujifanya tunajua kifuatilia vitu visivyo na faida au hasara kwenye maisha yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu madada poa wapo mpaka nchi zilizoendelea na zenye uchumi wa Kati. Nenda Ulaya utawaona nende South East Asia countries mfano Thailand , Indonesia, phillipines, n.k. hii ni miongoni mwa biashara kongwe DuniaNilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.
Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.
Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?
Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.
Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?
Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.