Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Ila mkuu hujalazimishwa kununua... Waache tu kila MTU na maisha yake hao wameamua kutokuwa wanafki yofauti na wengine ambao wapo na kazi nyingine lakini hupewi tunda mpaka uwahonge...

Hawa nao nani atawatoza kodi?... Nadhani ni bora kukaa kimya kama serikali ilivyoamua na inavyo semekana hawa wanaojiuza wanafatilia sana matumizi ya kinga tofauti na watu wengine... Wale wanaojifanya watakatifu ndo wanaongoza kuambukiza wengine wakiongozwa na kundi la wanandoa...[emoji848][emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Huwezi ukaizuia biashara kama hiyo, wateja ni wengi sana, hata ungekuwa Rais wa nchi usingeweza labda ungedhibiti mikusanyiko lakini migegedo ingekuwepo tu, labda bar zifungwe ili serikali ikose mapato
 
Wanajiuza hadhari lakini wanatumika mafichoni laiti kama wanagekuwa wanafanya ngono hapohapo barabarani ingekuwa rahisi kuwadhibiti,jambo linalofanyika chumbani (mafichoni) kulizuia ni mtihani mkubwa sana,achana na nyege mkuu.

Labda tueleze kwa hizo siku tatu ungetumia mbinu gani kuwadhibiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Hawa watu madada poa wapo mpaka nchi zilizoendelea na zenye uchumi wa Kati. Nenda Ulaya utawaona nende South East Asia countries mfano Thailand , Indonesia, phillipines, n.k. hii ni miongoni mwa biashara kongwe Dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom