Serikali kama mmeweza ku-mobilize Pesa ya kumpa zawadi muokoaji Majaliwa ikapatikana, kwanini msifanye ya kununua Vifaa vya Uokoaji Majini?

Serikali kama mmeweza ku-mobilize Pesa ya kumpa zawadi muokoaji Majaliwa ikapatikana, kwanini msifanye ya kununua Vifaa vya Uokoaji Majini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hongereni sana Serikali ya Tanzania (chini ya CCM) kwa kupata Credits kwa Watanzania wengi (japo siyo Wote) walio Goi Goi (Mazuzu) kwa Kitendo chenu Watendaji Wakuu (hasa Premier Majaliwa na RC Chalamila) cha kufanya Mobilization ya Kufa Mtu mpaka Pesa za Kumzawadia Muokoaji Majaliwa zikapatikana na bado zinaendelea kupatikana zingine ilimradi tu Kumtajirisha Kijana kwa gharama za Uzembe wenu wa Kushindwa Kuokoa Watanzania wakiwa katika Mikasa ya Ajali za Majini.

Hivyo basi GENTAMYCINE nawaombeni hebu fanyeni tena Mobilization ya kupatikana Pesa ya Kununulia Vifaa vya Uokoaji na Kuiimarisha Mishahara na Welfares za Watendaji (Wahusika) wa Uokoaji (Jeshi la Zimamoto na Uokoaji )

Basi Wenyewe mnajiona Wajanja!
 
Unaweza sema ukaonekana mkuda GENTAMYCIME hapo mwanza airport ukiondoa hio firetender yenyewe iliochoka toka ujeruman kwa msaada ,Rescue car ya hata ardhini tu ipi.

Gari iliopo ni kwa ajili ya maafa ya moto .Ndege ikiwa na mkasa kama huo kuna kifaa gani kipo pale kwenye zile locker za fire tender cha kuingia nacho majini zaidi BA( breathing apparatus)?

Tena sio SCUBA( self contained underwater breathing aparatus)? Jeshi la zimamoto ni jeshi Tamu sana na nimoja ya Jeshi rafiki kwa wananchi ila vitendea hakuna.

Kupitia ukusanyaji wa maduhuli jeshi linakusanya pesa nyingi sana zinaenda serikali kuu ,pia utoaji wa elimu ila vifaa havipatikani kwa mda na haviletwi tu
 
Back
Top Bottom