Serikali: Kilichompata Dkt. Sospeter Bulugu kilitokana na kushuka kwa Sukari, na siyo madhara ya chanjo

Ukiwa kwenye mkutano ukiona mtu amestack ghafla hivo hakuna kujiuliza yafaa kuwa nyuma yake haraka Ili kuwahi chochote kumpa usaidizi Ili asianguke au kupata dharura yeyeto.
Papa wemba alidondoka ghafla stejini pasipo usaidizi ikawa mwisho wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…