Serikali: Kilichompata Dkt. Sospeter Bulugu kilitokana na kushuka kwa Sukari, na siyo madhara ya chanjo

Serikali: Kilichompata Dkt. Sospeter Bulugu kilitokana na kushuka kwa Sukari, na siyo madhara ya chanjo

Asilimia 16.8% ni nusu kweli?
Umesoma vizuri? Au ''english gongana''! Unajua population ya dunia? Unajua makadirio ya idadi ya watu ambao wanatakiwa kuchanjwa ni wangapi? Umesoma ni wangapi wameshapata angalau chanjo moja?
 
'
20210702_171537.jpg
 
Umesoma vizuri? Au ''english gongana''! Unajua population ya dunia? Unajua makadirio ya idadi ya watu ambao wanatakiwa kuchanjwa ni wangapi? Umesoma ni wangapi wameshapata angalau chanjo moja?
Ww umesema nusu ya population,usilete malikauli hapa
 
Watu wanatafuta sababu nyepesi nyepesi ili waendelee kujiliwaza wasipate chanjo.

Hakuna mwenye uhakika kama kweli huyo dokta ameanguka baada ya kupata chanjo, though hiyo inaweza kuwa moja ya side effects ambazo zinaweza kumpata mtu japo sio wote hudhurika, na ndio maana hilo ni tukio la kwanza (nasisitiza kama kweli ameanguka baada ya kupata chanjo).

Vinginevyo taarifa iliyotolewa na serikali kuhusu hiyo issue ndio final, watu wasijitafutie sababu zao binafsi ili wajiliwaze.
Ukiskkiliza vizuri hiyo clip kuna mtu anayemfanamu alisema alikuwa amechanjwa! Yeye mwenyewe alitaka kusema " Nashukuru sana mimi ni-(lichanjwa)! Aliishia kusema ni........... ! Muktadha wa sentensi unaonesha alikuwa anashukuru kwa kuchanjwa!!!
 
Huyo Gwanjima ni mganga wa kienyeji hadi aseme sukari imeshuka bila kumpima? Hukumu yenu ni kubwa mbele za Mungu. Endeleeni kuhadaa watu na kuwalaghai huku mkificha ukwlei kwa maslahi ya viburi vyenu.
Yaan wanao pinga chanjo kwa kusimamia mawazo ya magufuli sijui nawaonaje kwakweli maana ni zaid ya wapumbavu
 
Huko kushuka kwa sukari ghafla kutoka Dk Sospeter Bulugu kulisababishwa na nini kama sio athari mbaya za chanjo ya UVIKO-19?

Kwanini kama ndivyo ilivyo kuwa kwa nini picha mwendo ilikingwa isioonekana hadi mwisho ilivyokuwa na waandishi wakaruhusiwa kufuatilia badala ya kuwazuia wassitoe habari hii hadi serikali baada ya wasamaria wema kuibandika kwenye mitandao ya kijamii wanakuja barua hoja ya 'circus' kama hii?

Tanzania imefikia mahali pabaya sana ambapo unafiki ndio kigezo cha kuongoza watu!!!!
Mpumbavu ni mpumbavu tu.
 
Kwamba Daktari alikuwa sehemu ya watoa mada halafu at the same time, tunaambiwa alienda kupata Elimu ya Chanjo ili aweze kuchanjwa. Serious?
Anyway, natambua Chanjo haiwezi kusababisha mtu a faint. Huenda kushuka ghafla kwa sukari mwilini( hypoglycemia) au orthostatic hypotension ( kushuka kwa msukumo wa damu kunakotokana na kusimama guafla) kulimsababishia hali Ile. Lakini kwa nn taarifa ya wizara unanichanganya?
 
Watanzania shida sana; hivi ni wangapi waliochanja halafu wakapatwa na hali hiyo? Mbona tunao wengi tu huku mtaani wamechanjwa na hawana matatizo yeyote...tuacheni uzushi usio na maana..
 
Alikuwa mtoa mada wa mwisho na wakati huohuo alikuja kupata elimu ya chanjo. What a coinsidence
Hili ndo limenisumbua kwamba msemaji amekuja kupata elimu ya chanjo ili naye achanjwe?
Hata shetani hawezi danganya uongo wa hivyi.
 
Back
Top Bottom