Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Gwanjima ni mganga wa kienyeji hadi aseme sukari imeshuka bila kumpima? Hukumu yenu ni kubwa mbele za Mungu. Endeleeni kuhadaa watu na kuwalaghai huku mkificha ukwlei kwa maslahi ya viburi vyenu.Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?
View attachment 1890539View attachment 1890540
Kwa hiyo ndugu zangu:
#Twendeni Tukachanje
Kikifika kimefika tuuuu mkuuhata ufanyaje . Papa wemba Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa . Huyu akupangiwa hivyo. Endelea kubughia ugali tu na viporo vya kande bila uwoga ikifika imefika tuuuu.Ukiwa kwenye mkutano ukiona mtu amestack ghafla hivo hakuna kujiuliza yafaa kuwa nyuma yake haraka Ili kuwahi chochote kumpa usaidizi Ili asianguke au kupata dharura yeyeto.
Papa wemba alidondoka ghafla stejini pasipo usaidizi ikawa mwisho wake.
Hiyo Dr karopoka hivyo makusudi baada ya kuona watu hawajazima camera akasema watu wasijedhani amechanjwa.... Lengo lake ni kuwa hata wakishare watu wajue hakuchanja, ila alichanjwa[emoji23][emoji23][emoji23]umeisikiliza dakika ya 1:56 au wewe ni kiziwi
Jamaa wehu sana
dah hata kama ni propaganda kwa hili Gwajiboy atakuwaanaongoza mechi kwa 3-0 dhidi ya GwajigirlMtumie Gwajima hii clip![emoji23]
Waongo, wamepanga njama za kuficha ukweli
Waongo, wamepanga njama za kuficha ukweli
Waongo, wamepanga njama za kuficha ukweli
Ngoja tunyamaze , Ila chanjo itatupa majibu sahihi mmoja baada ya mwingine 😂🤣Amesema tusiseme
Huko kushuka kwa sukari ghafla kutoka Dk Sospeter Bulugu kulisababishwa na nini kama sio athari mbaya za chanjo ya UVIKO-19?Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?
View attachment 1890539View attachment 1890540
Kwa hiyo ndugu zangu:
#Twendeni Tukachanje
Ngoja tunyamaze , Ila chanjo itatupa majibu sahihi mmoja baada ya mwingine [emoji23][emoji1787]