Unaijua hii?
Irrelevant.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaijua hii?
Lijamaa liongo ,nusu ya population,Ili ufikie ni Lazima dozi bilioni 5 za chanjo zote ziwe tayari either za double or single dose...Tushachanja nusu population ya dunia nzima?
Asilimia 16.8% ni nusu kweli?![]()
Coronavirus (COVID-19) Vaccinations
Explore data on COVID-19 vaccinations across the world.ourworldindata.org
Umesoma vizuri? Au ''english gongana''! Unajua population ya dunia? Unajua makadirio ya idadi ya watu ambao wanatakiwa kuchanjwa ni wangapi? Umesoma ni wangapi wameshapata angalau chanjo moja?Asilimia 16.8% ni nusu kweli?
Ww umesema nusu ya population,usilete malikauli hapaUmesoma vizuri? Au ''english gongana''! Unajua population ya dunia? Unajua makadirio ya idadi ya watu ambao wanatakiwa kuchanjwa ni wangapi? Umesoma ni wangapi wameshapata angalau chanjo moja?
Sijaona humo hiyo nusu ya population kama ulivyosema.![]()
Coronavirus (COVID-19) Vaccinations
Explore data on COVID-19 vaccinations across the world.ourworldindata.org
Sijaona humo hiyo nusu ya population kama ulivyosema.
Video imeondolewaKama umechanja imekula kwako,
Ukiskkiliza vizuri hiyo clip kuna mtu anayemfanamu alisema alikuwa amechanjwa! Yeye mwenyewe alitaka kusema " Nashukuru sana mimi ni-(lichanjwa)! Aliishia kusema ni........... ! Muktadha wa sentensi unaonesha alikuwa anashukuru kwa kuchanjwa!!!Watu wanatafuta sababu nyepesi nyepesi ili waendelee kujiliwaza wasipate chanjo.
Hakuna mwenye uhakika kama kweli huyo dokta ameanguka baada ya kupata chanjo, though hiyo inaweza kuwa moja ya side effects ambazo zinaweza kumpata mtu japo sio wote hudhurika, na ndio maana hilo ni tukio la kwanza (nasisitiza kama kweli ameanguka baada ya kupata chanjo).
Vinginevyo taarifa iliyotolewa na serikali kuhusu hiyo issue ndio final, watu wasijitafutie sababu zao binafsi ili wajiliwaze.
Yaan wanao pinga chanjo kwa kusimamia mawazo ya magufuli sijui nawaonaje kwakweli maana ni zaid ya wapumbavuHuyo Gwanjima ni mganga wa kienyeji hadi aseme sukari imeshuka bila kumpima? Hukumu yenu ni kubwa mbele za Mungu. Endeleeni kuhadaa watu na kuwalaghai huku mkificha ukwlei kwa maslahi ya viburi vyenu.
Mpumbavu ni mpumbavu tu.Huko kushuka kwa sukari ghafla kutoka Dk Sospeter Bulugu kulisababishwa na nini kama sio athari mbaya za chanjo ya UVIKO-19?
Kwanini kama ndivyo ilivyo kuwa kwa nini picha mwendo ilikingwa isioonekana hadi mwisho ilivyokuwa na waandishi wakaruhusiwa kufuatilia badala ya kuwazuia wassitoe habari hii hadi serikali baada ya wasamaria wema kuibandika kwenye mitandao ya kijamii wanakuja barua hoja ya 'circus' kama hii?
Tanzania imefikia mahali pabaya sana ambapo unafiki ndio kigezo cha kuongoza watu!!!!
Hiyo billion 4 ni idadi ya dozi nimeiona,ndio unataka kusemaje sasa?4.62 billion doses have been administered globally, and 35.91 million are now administered each day.
Hii hapa mkuu
Hili ndo limenisumbua kwamba msemaji amekuja kupata elimu ya chanjo ili naye achanjwe?Alikuwa mtoa mada wa mwisho na wakati huohuo alikuja kupata elimu ya chanjo. What a coinsidence