Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Imeeleweka. Wazushi na wapotoshaji sio watu wema.Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?
View attachment 1890539View attachment 1890540
Kwa hiyo ndugu zangu:
#Twendeni Tukachanje
Ujinga ni mzigo mzito sana. Unataka watu waendelee kuchukuwa video ya mtu mgonjwa? Hili uliliona wapi duniani? Huoni hata wachezaji wa mpira wanapopatwa na jambo la ghafla kama kuanguka kamera zote zinaacha kurekodi tukio. Anyways vitu vingine huwezi kuvielewa bila kustaarabika.Huko kushuka kwa sukari ghafla kutoka Dk Sospeter Bulugu kulisababishwa na nini kama sio athari mbaya za chanjo ya UVIKO-19?
Kwanini kama ndivyo ilivyo kuwa kwa nini picha mwendo ilikingwa isioonekana hadi mwisho ilivyokuwa na waandishi wakaruhusiwa kufuatilia badala ya kuwazuia wassitoe habari hii hadi serikali baada ya wasamaria wema kuibandika kwenye mitandao ya kijamii wanakuja barua hoja ya 'circus' kama hii?
Tanzania imefikia mahali pabaya sana ambapo unafiki ndio kigezo cha kuongoza watu!!!!
Majibu gani tena unaongojea na nusu ya population ya dunia imeshachanjwa? I mean mko dunia gani nyie watu. Ni mtu mzima na akili zake amejifungia ndani akisubiri madhara ya chanjo ili aonekane ana akili! Du kweli ujinga mzigo. Misukule ya Magufuli mnatafuta vitu vidogo vidogo ili mpate sababu ya kukata mauno!Ngoja tunyamaze , Ila chanjo itatupa majibu sahihi mmoja baada ya mwingine 😂🤣
Kama hivyo ndivyo, kwanini JMK alipodondka akihutubia hamkutoa kamera kumwonesha?Ujinga ni mzigo mzito sana. Unataka watu waendelee kuchukuwa video ya mtu mgonjwa? Hili uliliona wapi duniani? Huoni hata wachezaji wa mpira wanapopatwa na jambo la ghafla kama kuanguka kamera zote zinaacha kurekodi tukio. Anyways vitu vingine huwezi kuvielewa bila kustaarabika.
Nimeisikia hiyo, mazuzu yanajipeleka...ila siwaoni wapinzani wa kutosha kupokea chanjo, sijui wapo wapi?Naona picha ya Engineer Mjenzi alivyoumwa wakamwacha akaenda kulala, inajirudia. Hawa si binadamu. 'Kama alilkuwa amechanjwa, isisikike popote", "Operation ya kitaifa, operation Mumiani".
Mtu unaweza kufa watu huku wamekuangalia tuJamaa wehu sana
Chanjo hazifai. Chanjo hazifai.Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?
View attachment 1890539View attachment 1890540
Kwa hiyo ndugu zangu:
#Twendeni Tukachanje
Kwa sababu serikali inaongozwa na mwanasiasa basi unatakiwa usiiamini maana mwanasiasa haaminiki.Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?
View attachment 1890539View attachment 1890540
Kwa hiyo ndugu zangu:
#Twendeni Tukachanje
ngoja mzimu wa ssh uwapukutishe majukwaani mtadondoka kama kupe moja baada ya mwingineMzim wa jpm ume wang'ang'ania
Matukio unayozungumzia ni tofauti kabisa na matukio niliyoongolea. Usiwe na wasiwasi kuna vitu vingine vinahitaji elimu na exposure ndiyo mtu aelewe.Kama hivyo ndivyo, kwanini JMK alipodondka akihutubia hamkutoa kamera kumwonesha?
Mbona hamkutoa kamera zenu wakati ulipozuka moshi wa ghafla kwenye ziara ya JPM huko Ruangwa?
Kwanini waandishi walibakiza kamera zao zimemulika aliposhambuliwa GW Bush akiwa jukwaani akihutubia?
Wewe ndio mgeni wa masuala yanayohitaji kuwekewa ushahidi kwa rejea halisi ili kubaini kitu gani kilichompata mwathirika
Mkuu,Mzim wa jpm ume wang'ang'ania
Wabheja sana.Acheni uhuni, chanjo ndo imemgaragaza, Video hii hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1890545
Hakuna tofauti yoyote hivyo ndivyo ilivyoMatukio unayozungumzia ni tofauti kabisa na matukio niliyoongolea. Usiwe na wasiwasi kuna vitu vingine vinahitaji elimu na exposure ndiyo mtu aelewe.
aya alichanjwa kwaiyoHiyo Dr karopoka hivyo makusudi baada ya kuona watu hawajazima camera akasema watu wasijedhani amechanjwa.... Lengo lake ni kuwa hata wakishare watu wajue hakuchanja, ila alichanjwa[emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja mzimu wa ssh uwapukutishe majukwaani mtadondoka kama kupe moja baada ya mwingine
Mkuu,
Kila kinachotokea kimeundwa katika visababishi vitatu
1. Immediate causes (kisababishi cha moja kwa moja
2. Underlying causes (kisababishi kitokanacho na mambo mengine)
3. Root causes (kisababishi kitokanacho na kiini cha matendo yanayoashiria usalama au hatari lakini umakini ukakosekana kwa makusudi au u
zembe uliopitiliza)
Je, kilichojili kimesababishwa na sababu ipi hapo juu?
Kwanini wanatumia nguvu nyingi sana kutuaminisha??Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba?
View attachment 1890539View attachment 1890540
Kwa hiyo ndugu zangu:
#Twendeni Tukachanje
Tushachanja nusu population ya dunia nzima?Majibu gani tena unaongojea na nusu ya population ya dunia imeshachanjwa? I mean mko dunia gani nyie watu. Ni mtu mzima na akili zake amejifungia ndani akisubiri madhara ya chanjo ili aonekane ana akili! Du kweli ujinga mzigo. Misukule ya Magufuli mnatafuta vitu vidogo vidogo ili mpate sababu ya kukata mauno!
Tushachanja nusu population ya dunia nzima?