polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Mifumo mingi ya serikali ikisha pata watumiaji wengi tayari inasumbua sana tena sana na kuna wakati haipatikani kabisa tatizo ni nini? vifaa duni au wataalamu wenu mlio nao huko hawana uwezo?
Yani unaweza kukuta vi websites binafsi tu vinawatumiaji karibu milion lakin viko haraka sana lakini mifumo ya serikali unaweza subiri hadi unachoka mfumo haufunguki. Mfano wa kwanza NECTA, halafu kuna mifumo mingi sana ya ELIMU na AFYA, MIFUMO YA BILI ni matatizo makubwa sana tu.
Hebu wahusika pitieni hilo yawezekana mnauziwa savers zilizo chini kabisa ya kiwango kwa bei ghali.
Yani unaweza kukuta vi websites binafsi tu vinawatumiaji karibu milion lakin viko haraka sana lakini mifumo ya serikali unaweza subiri hadi unachoka mfumo haufunguki. Mfano wa kwanza NECTA, halafu kuna mifumo mingi sana ya ELIMU na AFYA, MIFUMO YA BILI ni matatizo makubwa sana tu.
Hebu wahusika pitieni hilo yawezekana mnauziwa savers zilizo chini kabisa ya kiwango kwa bei ghali.