Serikali kitengo cha TEHAMA: Kwanini mifumo yenu mingi ya online/kimtandao inasumbua sana tatizo ni wataalam au vifaa duni?

Serikali kitengo cha TEHAMA: Kwanini mifumo yenu mingi ya online/kimtandao inasumbua sana tatizo ni wataalam au vifaa duni?

Kuna Kitu huwa kinatakiwa kifanyike kabla ya Ku-Launch mifumo kwenda "LIVE" kutoka "UAT" hiyo process inaitwa Stress Testing, mifumo mingi ya huko bongo huwa haifanyiwi hii kitu nimekaa huko kwenya mbaadhi ya sekta mfumo ukishatengenezwa kabla hata ya Quality testing tayari uko Live.

Stress testing inasaidia sana hasa kwenye kufahamu Kama kutakuwa na Concurrent connection 20 thousand wahat will happen.

Lakini stress testing huwa inafanyika kisasa pia.
Kwakweli
 
Wataalamu wanaotegemewa wenyewe hawana huo utaalamu. Mtu akishajua programming basi ndio mtaalamu huyo. Vijana wengi wanaochukuliwa hawajui system development process, syatem architecture design au system testing.

Kwanza hakunaga system testing kabisa. Utakuta aliyetengeneza mfumo eti ndiye anategemewa afanye na testing. Testing zenyewe wala sio scientific procedures na wala hazifuati standard yoyote.

Mwisho ni lile tatizo la ajira za kujuana. Hapa ni shida kubwa sana.
 
Serikali inajua kukamua maziwa na sio kulisha ng'ombe
Sasa kama ng'ombe yenyewe inafurahia kukamuliwa acha serikali iendelee kukamua🐒
images (95).jpeg
 
Back
Top Bottom