ledman
Senior Member
- Feb 6, 2014
- 103
- 7
mwakajana wameenda mzigoni mwezi wa nne sawa na mwaka juzi sasa huo mwezi wa tano umeutoa wapi
Wa mwaka juzi Ajira zao zilitoka mwezi wa pili mwezi wa Tatu wakaripoti mwaka Jana Ajira zilitoka mwezi wa 3 wakaripoti mwezi wa nne sasa unadhani nini kinachofuata,mkuu kuwa na subira