#COVID19 Serikali: Kuanzia Julai 26, 2021 kila anayetumia usafiri wa umma avae barakoa

#COVID19 Serikali: Kuanzia Julai 26, 2021 kila anayetumia usafiri wa umma avae barakoa

Tulifanya makosa makubwa Sana kuacha utaratibu huu, kipindi kile na kukimbilia nyungu ya jaffo na Msukuma,
Wapi mzee!!!
Hizi ni siasa tu. Tatizo ni hela. Utapewa mkopo kama huna wagonjwa wa corona?
Yaani kitendo cha kukubali fedha za mzungu matokeo ndo haya.

Na sikufichi,hatutachukua muda hatujapigwa lockdown.
Masharti ni kutangaza una wagojwa,na ni wangapi. Na grafu inatakiwa kupanda na si kushuka.

Mwanamke na maamuzi ya nchi wapi na wapi bana.
 
Wapi mzee!!!
Hizi ni siasa tu. Tatizo ni hela. Utapewa mkopo kama huna wagonjwa wa corona?
Yaani kitendo cha kukubali fedha za mzungu matokeo ndo haya.

Na sikufichi,hatutachukua muda hatujapigwa lockdown.
Masharti ni kutangaza una wagojwa,na ni wangapi. Na grafu inatakiwa kupanda na si kushuka.

Mwanamke na maamuzi ya nchi wapi na wapi bana.
Huna tofauti na yule aliyekuwa anaamini ushirikina na akaondoka na corona, pole sna
 
Wapi mzee!!!
Hizi ni siasa tu. Tatizo ni hela. Utapewa mkopo kama huna wagonjwa wa corona?
Yaani kitendo cha kukubali fedha za mzungu matokeo ndo haya.

Na sikufichi,hatutachukua muda hatujapigwa lockdown.
Masharti ni kutangaza una wagojwa,na ni wangapi. Na grafu inatakiwa kupanda na si kushuka.

Mwanamke na maamuzi ya nchi wapi na wapi bana.
Mkuu ,Corona ipo au haipo mkuu, tangu enzi za Nyerere tz imekua ikikopa ,ukisika deni la TAIFA sio kwamba limeanza leo, tatizo tunakopa KWA Sasa na pesa ishia kwenye anasa,kununua mav8 , nk,

Ila nchi Kama tz mikopo haikwepeki mkuu, Bado tupo chini mno,

Ninachosema Kama TAIFA tungesimamia yale ya kipindi kile ,tungekua salama for 85% ,sema tu ubishi wa mwendazake mkuu
 
Upuuzi, hapa tunainyemelea lockdown taratibu. Pesa za Mabeberu hazijawahi kuwa rahisi
Hakuna cha lock down hapa ,ila taadhali muhim, kwani past days, mwanzo wa korona tz tulipochuka atua za namna hii tulikua lock down? Mk

Binafsi tangu kipindi kile huwa azikosi barakoa 2au tatu katika hand bag yangu,maana sio mtu wa kutulia Sana kazini kwangu, so binafsi, naunga mkono for 100% katika Hili,
 
... nimeona lile tangazo la serikali lililosainiwa na Prof. Makubi, mganga mkuu wa serikali. Limejaribu kueleza hatua za kuchukua katika maeneo mbalimbali yenye misongamano ili kukabiliana na Uviko-19. Lakini ama kwa makusudi, kusahau, au kutokujua halijagusia chochote kuhusu misongomano mashuleni na vyuoni walau kutaja Shule na Vyuo halikufanya hivyo!

... Kama kuna maeneo yenye misongamano ya UHAKIKA basi ni shuleni na vyuoni! Madarasa ni machache, wanafunzi ni wengi! Mabwenini na hostels huko misongamano ipo ya kutosha! Je, wale watoa huduma (walimu) sehemu hizo wamekuwa sacrificed? Athari za Uviko-19 kwa watoto na vijana angalau ni ndogo japo haimaanishi hawaambukizwi. Badala yake hawa wanakuwa carrier au vector; wanaambukizana mashuleni na vyuoni jioni wanawapelekea wazazi nyumbani!

.... Ilitegemewa tangazo lingeelimisha jamii juu ya hili na namna ya kujikinga! Kwa mfano, wangesema wazazi epukeni kuwakumbatia watoto wenu watokapo shule na nyumbani mkae mbali nao maana ni hatari! Badala yake kimya!
 
Wananchi na sisi kuchukua hatua ni mpaka serikali iingilie kati?
Jana kwenye daladala tulikuwa tumeshonana peke yangu nilikua na kiziba mdini watu walikuwa wananikata jicho la dharau balaa.
 
Serikali imeagiza kuanzia kesho kila anayetumia usafiri wa umma kuvaa barakoa huku stendi za mabasi zikitakiwa kuwa na miundombinu ya maji tiririka, sabuni na vipima joto.

View attachment 1867668
Askari wa usalama barabarani, hii bebeni,lazima dereva au abiria!!!, wavae barakoa.

Ukimkosa dereva, unahesabu abiria wasio kuwa na barakoa ndani ya chombo cha usafiri.

Hii ikisimamiwa vizuri, wenye mabasi watafanya promosheni bila kupenda(abiria akikata tiketi atapewa na barakoa kama bonasi, na kuepusha usumbufu wa kuchelewesha safari barabarani).
 
Corona ni roho chafu!! Hujitokeza mara moja watu wakiipa nafasi kwa kukiri uwepo wa corona! Ninakataa kwa nguvu zote kuwa Tanzania kuna corona. Corona ilishashindwa kwa Jina la Yesu Kristo. Wataaibika, watafedheheshwa wanaoitakia mabaya nchi yetu njema tuliyopewa na Bwana! Mungu alishatuponya corona tangu 2020! Anayeitaka corona itamjia yeye na nyumba yake!!
 
Back
Top Bottom