KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Hii nchi mtu makini akija atakwambia tulifika natural herd immunity mwishoni mwa mwakA jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulifanya makosa makubwa Sana kuacha utaratibu huu, kipindi kile na kukimbilia nyungu ya jaffo na Msukuma,
Tumeyataka wenyewe!! Pesa ya mabeberu pamoja na kwamba ni mkopo ambao utarudishwa na riba lakini wanakuwekea masharti hadi basi!! I'm very sorry for poor africans!!NDUGU ZANGU WAHANGAIKAJI TUNAOTEGEMEA KUTOKA NDIO TUPATE MAHITAJI YETU YA KILA SIKU, HAKIKA TUTAPOTEZA AJIRA NA MAZINGIRA YA BIASHARA YATAKUA MAGUMU SANA.
Ulishawahi kutumia Public transport tangu hizi Porojo za Corona zianze?Hakuna cha lock down hapa ,ila taadhali muhim, kwani past days, mwanzo wa korona tz tulipochuka atua za namna hii tulikua lock down? Mk
Binafsi tangu kipindi kile huwa azikosi barakoa 2au tatu katika hand bag yangu,maana sio mtu wa kutulia Sana kazini kwangu, so binafsi, naunga mkono for 100% katika Hili,
Yaan unapigwa jicho kama umeua vile 😄Jana kwenye daladala tulikuwa tumeshonana peke yangu nilikua na kiziba mdini watu walikuwa wananikata jicho la dharau balaa.
Wakati unalinda afya yako na zao imagine[emoji119]Yaan unapigwa jicho kama umeua vile [emoji1]
Uganda mpaka walikua wanazika majeneza matupu ili kuonesha watu wanakufa sana,kumbe hakuna lolote.Wapi mzee!!!
Hizi ni siasa tu. Tatizo ni hela. Utapewa mkopo kama huna wagonjwa wa corona?
Yaani kitendo cha kukubali fedha za mzungu matokeo ndo haya.
Na sikufichi,hatutachukua muda hatujapigwa lockdown.
Masharti ni kutangaza una wagojwa,na ni wangapi. Na grafu inatakiwa kupanda na si kushuka.
Mwanamke na maamuzi ya nchi wapi na wapi bana.
Mnaenda kupigwa lockdown muda sio mrefuNDUGU ZANGU WAHANGAIKAJI TUNAOTEGEMEA KUTOKA NDIO TUPATE MAHITAJI YETU YA KILA SIKU, HAKIKA TUTAPOTEZA AJIRA NA MAZINGIRA YA BIASHARA YATAKUA MAGUMU SANA.
Unajua kwa vile wanatoa takwimu, hapa mara ya mwisho ni lini zilitolewa takwimu za maabukizi na vifo vya waathirika wa Covid-19?.Mbona walikochukua hatua ndiko wanakufa zaidi?
Hoja yako hasa ipi maana kuhusu watu kufa hao wazungu wamekufa na wanaendelea kufa pamoja na kuchukua hatua, sasa huko kufa kama kuku ni kupi hebu eleza?Atakumbukwa kwa kuwaachia watanzania wafe kama kuku wenye kideri bila kuchukuwa hatua mapema.mpaka yeye mwenyewe ikamuua.
Mwanamke hapaswi kuwa kiongozi mungu hakoseithis lady is a disgrace to our nation
Unajua issue ya matumizi sahihi ya barakoa inapuuzwa kabisa, mkiulizwa wavaaji wa barakoa ni wangapi mnakumbuka kunawa mikono kabla ya kuvaa na kuvua barakoa ni wazi wachache tu huwa wanakumbuka hilo suala. Sasa kama watu wanashindwa kujua matumizi sahihi ya barakoa sijui ni vp barakoa itakuwa msaada wa kuzuia maambukizi? watu hawajui hata baada ya kuvua barakoa afanye niniHakuna cha lock down hapa ,ila taadhali muhim, kwani past days, mwanzo wa korona tz tulipochuka atua za namna hii tulikua lock down? Mk
Binafsi tangu kipindi kile huwa azikosi barakoa 2au tatu katika hand bag yangu,maana sio mtu wa kutulia Sana kazini kwangu, so binafsi, naunga mkono for 100% katika Hili,
Umesahau nyumba za ibada, makanisa na misikiti.... nimeona lile tangazo la serikali lililosainiwa na Prof. Makubi, mganga mkuu wa serikali. Limejaribu kueleza hatua za kuchukua katika maeneo mbalimbali yenye misongamano ili kukabiliana na Uviko-19. Lakini ama kwa makusudi, kusahau, au kutokujua halijagusia chochote kuhusu misongomano mashuleni na vyuoni walau kutaja Shule na Vyuo halikufanya hivyo!
... Kama kuna maeneo yenye misongamano ya UHAKIKA basi ni shuleni na vyuoni! Madarasa ni machache, wanafunzi ni wengi! Mabwenini na hostels huko misongamano ipo ya kutosha! Je, wale watoa huduma (walimu) sehemu hizo wamekuwa sacrificed? Athari za Uviko-19 kwa watoto na vijana angalau ni ndogo japo haimaanishi hawaambukizwi. Badala yake hawa wanakuwa carrier au vector; wanaambukizana mashuleni na vyuoni jioni wanawapelekea wazazi nyumbani!
.... Ilitegemewa tangazo lingeelimisha jamii juu ya hili na namna ya kujikinga! Kwa mfano, wangesema wazazi epukeni kuwakumbatia watoto wenu watokapo shule na nyumbani mkae mbali nao maana ni hatari! Badala yake kimya!
Nimeona hata kwa nchi za ulaya na marekani ,,mkazo unatoka serikalini. Raia hata hawajali.Wananchi na sisi kuchukua hatua ni mpaka serikali iingilie kati?
Hizo zimetajwa. Shule na vyuo ndio kabisa havikugusiwa popote.Umesahau nyumba za ibada,makanisa na misikiti.