#COVID19 Serikali: Kuanzia Julai 26, 2021 kila anayetumia usafiri wa umma avae barakoa

#COVID19 Serikali: Kuanzia Julai 26, 2021 kila anayetumia usafiri wa umma avae barakoa

NDUGU ZANGU WAHANGAIKAJI TUNAOTEGEMEA KUTOKA NDIO TUPATE MAHITAJI YETU YA KILA SIKU, HAKIKA TUTAPOTEZA AJIRA NA MAZINGIRA YA BIASHARA YATAKUA MAGUMU SANA.
Tumeyataka wenyewe!! Pesa ya mabeberu pamoja na kwamba ni mkopo ambao utarudishwa na riba lakini wanakuwekea masharti hadi basi!! I'm very sorry for poor africans!!
 
Hakuna cha lock down hapa ,ila taadhali muhim, kwani past days, mwanzo wa korona tz tulipochuka atua za namna hii tulikua lock down? Mk

Binafsi tangu kipindi kile huwa azikosi barakoa 2au tatu katika hand bag yangu,maana sio mtu wa kutulia Sana kazini kwangu, so binafsi, naunga mkono for 100% katika Hili,
Ulishawahi kutumia Public transport tangu hizi Porojo za Corona zianze?
 
Dah kweli ukila pesa za watu unakuwa kama zombie kila utakaloambiwa utafanya tu haki huyu mama Mungu anamuona anapotupeleka
 
Madhara ya kukiri udhaifu... Mbona tulikuwa tunaishi kawaida tu.. kwanini sasahivi?

Tunapeana hofu tu, korona ndio ipo ila naona kama tunatishana sana
 
Wapi mzee!!!
Hizi ni siasa tu. Tatizo ni hela. Utapewa mkopo kama huna wagonjwa wa corona?
Yaani kitendo cha kukubali fedha za mzungu matokeo ndo haya.

Na sikufichi,hatutachukua muda hatujapigwa lockdown.
Masharti ni kutangaza una wagojwa,na ni wangapi. Na grafu inatakiwa kupanda na si kushuka.

Mwanamke na maamuzi ya nchi wapi na wapi bana.
Uganda mpaka walikua wanazika majeneza matupu ili kuonesha watu wanakufa sana,kumbe hakuna lolote.
Hichi kitu hakuna ni propaganda tu.
 
NDUGU ZANGU WAHANGAIKAJI TUNAOTEGEMEA KUTOKA NDIO TUPATE MAHITAJI YETU YA KILA SIKU, HAKIKA TUTAPOTEZA AJIRA NA MAZINGIRA YA BIASHARA YATAKUA MAGUMU SANA.
Mnaenda kupigwa lockdown muda sio mrefu
 
Atakumbukwa kwa kuwaachia watanzania wafe kama kuku wenye kideri bila kuchukuwa hatua mapema.mpaka yeye mwenyewe ikamuua.
Hoja yako hasa ipi maana kuhusu watu kufa hao wazungu wamekufa na wanaendelea kufa pamoja na kuchukua hatua, sasa huko kufa kama kuku ni kupi hebu eleza?
 
Hakuna cha lock down hapa ,ila taadhali muhim, kwani past days, mwanzo wa korona tz tulipochuka atua za namna hii tulikua lock down? Mk

Binafsi tangu kipindi kile huwa azikosi barakoa 2au tatu katika hand bag yangu,maana sio mtu wa kutulia Sana kazini kwangu, so binafsi, naunga mkono for 100% katika Hili,
Unajua issue ya matumizi sahihi ya barakoa inapuuzwa kabisa, mkiulizwa wavaaji wa barakoa ni wangapi mnakumbuka kunawa mikono kabla ya kuvaa na kuvua barakoa ni wazi wachache tu huwa wanakumbuka hilo suala. Sasa kama watu wanashindwa kujua matumizi sahihi ya barakoa sijui ni vp barakoa itakuwa msaada wa kuzuia maambukizi? watu hawajui hata baada ya kuvua barakoa afanye nini
 
... nimeona lile tangazo la serikali lililosainiwa na Prof. Makubi, mganga mkuu wa serikali. Limejaribu kueleza hatua za kuchukua katika maeneo mbalimbali yenye misongamano ili kukabiliana na Uviko-19. Lakini ama kwa makusudi, kusahau, au kutokujua halijagusia chochote kuhusu misongomano mashuleni na vyuoni walau kutaja Shule na Vyuo halikufanya hivyo!

... Kama kuna maeneo yenye misongamano ya UHAKIKA basi ni shuleni na vyuoni! Madarasa ni machache, wanafunzi ni wengi! Mabwenini na hostels huko misongamano ipo ya kutosha! Je, wale watoa huduma (walimu) sehemu hizo wamekuwa sacrificed? Athari za Uviko-19 kwa watoto na vijana angalau ni ndogo japo haimaanishi hawaambukizwi. Badala yake hawa wanakuwa carrier au vector; wanaambukizana mashuleni na vyuoni jioni wanawapelekea wazazi nyumbani!

.... Ilitegemewa tangazo lingeelimisha jamii juu ya hili na namna ya kujikinga! Kwa mfano, wangesema wazazi epukeni kuwakumbatia watoto wenu watokapo shule na nyumbani mkae mbali nao maana ni hatari! Badala yake kimya!
Umesahau nyumba za ibada, makanisa na misikiti.
 
Serikali kupitia msaada wa nje, washone barakoa wazigawe bure,ni rahisi ku implement kuliko kusisitiza disposable face mask, my opinion, I stand to be corrected
 
Back
Top Bottom