Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Siasa ilituvuruga kipindi kileTulifanya makosa makubwa Sana kuacha utaratibu huu, kipindi kile na kukimbilia nyungu ya jaffo na Msukuma,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa ilituvuruga kipindi kileTulifanya makosa makubwa Sana kuacha utaratibu huu, kipindi kile na kukimbilia nyungu ya jaffo na Msukuma,
Mwanamke hapaswi kuwa kiongozi mungu hakosei
Hatari sanaNimeona hata kwa nchi za ulaya na marekani ,,mkazo unatoka serikalini. Raia hata hawajali.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tuwekwe lockdown hata kesho ili mradi serikali itulishe, tusisubiri April 2022 🤣August 2021: " Serikali imesema watakaoruhusiwa wale waliochanjwa tu hawatavaa barakoa"
December 2021: " Serikali imesema ni lazima kila mTanzania achanjwe"
February 2022: " Serikali imesema Ili kuzuia kirusi cha Corona aina ya Gamma ,kila mTanzania yabidi aongezewe chanjo ya ziada"
April 2022: " Serikali imetangaza kuweka nchi yote ya Tanzania kwenye lockdown ila kuzuia maambukizi ya virusi vya korona"
Rinse and repeat