August 2021: " Serikali imesema watakaoruhusiwa wale waliochanjwa tu hawatavaa barakoa"
December 2021: " Serikali imesema ni lazima kila mTanzania achanjwe"
February 2022: " Serikali imesema Ili kuzuia kirusi cha Corona aina ya Gamma ,kila mTanzania yabidi aongezewe chanjo ya ziada"
April 2022: " Serikali imetangaza kuweka nchi yote ya Tanzania kwenye lockdown ila kuzuia maambukizi ya virusi vya korona"
Rinse and repeat