Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliofia mto Luiche wakivuka kwenda shule

Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliofia mto Luiche wakivuka kwenda shule

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
1677335916717.png

Serikali imesema itasasimamia na kugharamia taratibu zote za mazishi ya Wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji waliofariki kwa kuzama kwenye Mto baada ya mtumbwi kupinduka wakati wakielekea Shule.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema hayo baada kufika kaika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni kuaga miili ya Wanafunzi wawili waliopatikana leo kadokando ya Mto huo unaomwaga maji katika Ziwa Tanganyika.

"Kwa niaba ya Serikali ya awamu ya sita naomba niwafikishie salamu za pole kwa msiba mkubwa uliozikumba Familia hizi, tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa na tunaungana na Familia pamoja na Ndugu katika masikitiko haya makubwa tunajua hakuna mwenye uwezo wa kurejesha uhai uliotoweka ila tunaomba tuungane kwenye huzuni hii"

"Na serikali kwa upande wake itajitahidi kila inavyoweza ili kuwapumzisha kwa heshima Watoto wetu hawa ambao wamefariki, tutafanya tunavyoweza kuungana na Familia kuhudumia msiba ili tuweze kuwapumzisha wapendwa wetu vizuri, Serikali itaondoa changamoto hiyo kwa kutengeneza Daraja katika Mto huo"

Miili miwili iliyopatikana leo ya Wanafunzi hao ni mwili wa Tatu Sanaari na Ramadhani Nkwila(12) wa darasa la tano na wote wanazikwa leo, miili ambayo haijapatikana hadi sasa ni ya Watoto wawili Ashura Haruna wa darasa la kwanza na Zabibu, juhudi za utafutaji zinaendelea kufanywa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Kigoma.

Pia soma: Kigoma: Wanafunzi 4 wazama mto Luiche wakivuka kwenda shule. Miili 2 yapatikana kati ya watoto 4 waliozama
 
Inasikitisha sana,hivi wameshindwa kutafuta solution ya hapo? Kivuko kizuri kinachozingatia HSE au Daraja? Mbona inaonekana ni sehemu fupi kama mita 15-20?
 
Watoto wana risk maisha yao kila siku kwa kuvushwa na mitumbwi....
Ina maana serikali haikuona hilo tatizo tangu awali??
Wandhani wakisema watagharamia mazishi inatosha? Wasifanye kila mtu ni mjinga
 
Mama Samia ukiwa kama Mama, unaelewa machungu ya mzazi kumpoteza mtoto.
Kuna vitu vya muhimu vya kufanya, vinavyogusa maisha ya raia moja kwa moja.

Kuliko hela mkaenda kukopesha wasanii, hizo pesa na zingine zinazoenda kwenye miradi, isiyo ya lazima. Ni bora mngepeleka sehemu kama hizo.
Mnasubiria wafe, mkasaidie kuzika kweli? Wajengeeni daraja, kuweni na huruma.
 
Nimeumiaaa ndio wanachoweza mbunge wao amelaaniwa yeye watoto wake wako dar Wanaishi pazuri habari hawapati na ukute Hawakujui hukooo
2025 hao wazazi km wachawi...na Wanavijiji Wanampa kuraaa
 

Serikali imesema itasasimamia na kugharamia taratibu zote za mazishi ya Wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji waliofariki kwa kuzama kwenye Mto baada ya mtumbwi kupinduka wakati wakielekea Shule.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema hayo baada kufika kaika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni kuaga miili ya Wanafunzi wawili waliopatikana leo kadokando ya Mto huo unaomwaga maji katika Ziwa Tanganyika.

"Kwa niaba ya Serikali ya awamu ya sita naomba niwafikishie salamu za pole kwa msiba mkubwa uliozikumba Familia hizi, tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa na tunaungana na Familia pamoja na Ndugu katika masikitiko haya makubwa tunajua hakuna mwenye uwezo wa kurejesha uhai uliotoweka ila tunaomba tuungane kwenye huzuni hii"

"Na serikali kwa upande wake itajitahidi kila inavyoweza ili kuwapumzisha kwa heshima Watoto wetu hawa ambao wamefariki, tutafanya tunavyoweza kuungana na Familia kuhudumia msiba ili tuweze kuwapumzisha wapendwa wetu vizuri, Serikali itaondoa changamoto hiyo kwa kutengeneza Daraja katika Mto huo"

Miili miwili iliyopatikana leo ya Wanafunzi hao ni mwili wa Tatu Sanaari na Ramadhani Nkwila(12) wa darasa la tano na wote wanazikwa leo, miili ambayo haijapatikana hadi sasa ni ya Watoto wawili Ashura Haruna wa darasa la kwanza na Zabibu, juhudi za utafutaji zinaendelea kufanywa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Kigoma.

Pia soma: Kigoma: Wanafunzi 4 wazama mto Luiche wakivuka kwenda shule. Miili 2 yapatikana kati ya watoto 4 waliozama

This is the best they can do
 

Serikali imesema itasasimamia na kugharamia taratibu zote za mazishi ya Wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji waliofariki kwa kuzama kwenye Mto baada ya mtumbwi kupinduka wakati wakielekea Shule.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema hayo baada kufika kaika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni kuaga miili ya Wanafunzi wawili waliopatikana leo kadokando ya Mto huo unaomwaga maji katika Ziwa Tanganyika.

"Kwa niaba ya Serikali ya awamu ya sita naomba niwafikishie salamu za pole kwa msiba mkubwa uliozikumba Familia hizi, tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa na tunaungana na Familia pamoja na Ndugu katika masikitiko haya makubwa tunajua hakuna mwenye uwezo wa kurejesha uhai uliotoweka ila tunaomba tuungane kwenye huzuni hii"

"Na serikali kwa upande wake itajitahidi kila inavyoweza ili kuwapumzisha kwa heshima Watoto wetu hawa ambao wamefariki, tutafanya tunavyoweza kuungana na Familia kuhudumia msiba ili tuweze kuwapumzisha wapendwa wetu vizuri, Serikali itaondoa changamoto hiyo kwa kutengeneza Daraja katika Mto huo"

Miili miwili iliyopatikana leo ya Wanafunzi hao ni mwili wa Tatu Sanaari na Ramadhani Nkwila(12) wa darasa la tano na wote wanazikwa leo, miili ambayo haijapatikana hadi sasa ni ya Watoto wawili Ashura Haruna wa darasa la kwanza na Zabibu, juhudi za utafutaji zinaendelea kufanywa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Kigoma.

Pia soma: Kigoma: Wanafunzi 4 wazama mto Luiche wakivuka kwenda shule. Miili 2 yapatikana kati ya watoto 4 waliozama
badala ya kutatua changamoto za miundo mbinu,wanasubiri watoto wafariki wagharamie mazishi!

poor Afrika!
 
Mama Samia ukiwa kama Mama, unaelewa machungu ya mzazi kumpoteza mtoto.
Kuna vitu vya muhimu vya kufanya, vinavyogusa maisha ya raia moja kwa moja.

Kuliko hela mkaenda kukopesha wasanii, hizo pesa na zingine zinazoenda kwenye miradi, isiyo ya lazima. Ni bora mngepeleka sehemu kama hizo.
Mnasubiria wafe, mkasaidie kuzika kweli? Wajengeeni daraja, kuweni na huruma.
Anakusikia sasaaa
 
Back
Top Bottom