The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hakuwa na akili yule ndezi ndio katuletea hasara hizi..Kuleni kwa urefu wa kamba zenu, na kwa namna yoyote ile, ili muibe ni lazima kwanza mmuseme na kumponda magu, najiuliza Sjui hamuwezi kuiba tuu bila kumponda!!
Sio tuu alimualika Rostam Ikulu bali alienda kuzindua Taifa gas Kigamboni ๐ฌ๐ฌ๐ฌ..Kwa kumbukumbu tu...
View attachment 2209481
Kwa kweli wajinga ndio waliwao...ndege wafananao huruka pamoja!
Kuna kipindi ilikuwa ni kawaida na haki ya mtu kumiliki mtumwa aliyeuzwa baina ya Muuzaji na Mnunuzi (kwa makubaliano)...., Kwahio unaona sababu ilikuwa sawa kisheria mpaka leo tungeendeleza Utumwa (au hiyo Biashara ya kuuza mtu ilikuwa ni sawa sababu tu ya Mikataba ) ?Kwani hawakutoa huduma waliyokubaliana kwenye mkataba?
Huu no upigaji mwingine wa wazi dah,Makamba unatupiga wazi wazi bila huruma ndugu yetu.Samia huyu wa nini?Serikali Kupitia Wizara ya Nishati (Tanesco) kuilipa kampuni ya Symbion Tsh Billion 356 baada ya kuvunja mkataba wake na Tanesco awamu ya 5.
Kampuni ya Symbion ni Kampuni iliyokuwa ya Kimarekani ambayo ilikuwa ikifua umeme na kuiuzia Tanesco! Kampuni ya Symbion ilifunguliwa rasmi awamu ya 4 na Rais wa Marekani wakati huo Mh. Barack Obama pamoja Rais wa awamu ya 4 Mh Jakaya Kikwete.
Pia soma
Mitambo ya Umeme ya Kampuni ya Symbion Power kupigwa mnada
Mitambo ya Kampuni ya kufua umeme nchini "Symbion" imeshindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara takribani miaka mitatu sasa hivyo kupelekea kampuni hiyo kushtakiwa mahakama ya kazi na hatimae tangazo rasmi limebandikwa la kupigwa minada mitambo yake. Ikumbukwe mitambo hiyo ilizulinduliwa na...www.jamiiforums.com
Kuna jitihada za kuinusuru SYMBION?
๐ท๐๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐! ๐ผ๐๐๐ฃ๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ข๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ข๐ ๐๐พ๐ฝ๐ถ๐ฐ๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ข๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐๐๐๐ฃ๐ ๐๐ ๐ฑ๐๐๐๐ฃ๐ ๐ ๐ ๐๐๐ฐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ฐ๐ฝ๐๐ฐ๐ฝ๐ธ๐ฐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐ ๐ ๐๐พ๐ฝ๐ถ๐ฐ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐ ๐ ๐๐๐๐๐๐ฃ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐ 2024, ๐ผ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ข๐๐ฃ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐ ๐๐๐ฃ๐๐๐๐๐๐ฃ๐ ๐ข๐ ๐๐๐๐๐๐๐ฃ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo halipo,mikataba ilisainiwa kwa niaba ya Nchi na huduma ilitolewa kwenye Nchi na sio mtu au kampuni binafsi .Kuna kipindi ilikuwa ni kawaida na haki ya mtu kumiliki mtumwa aliyeuzwa baina ya Muuzaji na Mnunuzi (kwa makubaliano)...., Kwahio unaona sababu ilikuwa sawa kisheria mpaka leo tungeendeleza Utumwa (au hiyo Biashara ya kuuza mtu ilikuwa ni sawa sababu tu ya Mikataba ) ?
Kama vipi waende wakawapige pingu na kuwafilisi wale wote walio-sign hio mikataba ili kufidia pesa zao...
Afadhali haukuwa wewe..... Pili nimegundua uanvyoongea lipeni deni huelewei kwamba halipi jamaa fulani au kiumbe lidubwasha fulani bali ni wewe mimi na vizazi vinavyokuja... eti kwani wangesubiri mkataba uishe kungekuwa na shida gani, kwahio uozo wote unaofanywa sasa kwa siri huko mbeleni tukuigundua kwamba hauna maslahi kwa faida tuendelee nao mpaka uishe ? Yaani tumuwajibishe anayetaka kuondoka nao na sio yule aliyeuleta ?Hilo halipo,mikataba ilisainiwa kwa niaba ya Nchi na huduma ilitolewa kwenye Nchi na sio mtu au kampuni binafsi .
Hakuna sarakasi lipeni deni maisha yaendelee..
Ningekuwa mimi ningenyooka na aliyevunja mkataba akakuza hasara yenye fine juu.Kwani wangesubiria mkataba uishe kulikuwa na shida gani?
Haijalishi nalipa mimi au wewe,nachosema huo unaoita uozo kama mkataba usingevunjwa pesa ya kulipa isingekuwa sawa na hii inayotakiwa kulipwa kwa wapumbavu kuvunja mkataba bila kufikiria na kufanya calculation..Afadhali haukuwa wewe..... Pili nimegundua uanvyoongea lipeni deni huelewei kwamba halipi jamaa fulani au kiumbe lidubwasha fulani bali ni wewe mimi na vizazi vinavyokuja... eti kwani wangesubiri mkataba uishe kungekuwa na shida gani, kwahio uozo wote unaofanywa sasa kwa siri huko mbeleni tukuigundua kwamba hauna maslahi kwa faida tuendelee nao mpaka uishe ? Yaani tumuwajibishe anayetaka kuondoka nao na sio yule aliyeuleta ?
Unless una hisa kwenye huu ulaji sioni ni vipi mtu anaweza kuona this is okay....
We kiriboto, mimi na wewe hatutapatana mpaka utawala wenu wa kula Kwa kamba ndefu uishe, tafadhari usini Quote jumbe zangu zote ili Uzi ulioshikilia heshima ndogo kati yako na Mimi usikatike kabisa!Hakuwa na akili yule ndezi ndio katuletea hasara hizi..
Mpumbavu ni baba yako aliyekuzaa wewe fala..We mpumbavu! Mimi na wewe hatutapatana mpaka utawala wenu kula Kwa kamba ndefu uishe, tafadhari using Quote jumbe zangu zote ili Uzi ulioshikilia heshima ndogo kati yako na Mimi usikatike kabisa!
Tafadhali mkuu,
Unikome kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mzazi wako,
Atakukoma anaekulala sio mimi๐Unikome kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mzazi wako,
Na wewe ndio umeanzisha kunitusi, endelea tukuone mpumbavu na nguruwe wewe
Nakuuliza, Babu yako aliyekufa ni shujaa!!?Shujaa ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌ..Mashujaa wako Ikulu,humuoni Putin na Samia etc?
Tatizo mnatumia misuli na nyama za kwenye buttocks badala ya ubongo.
Yaani wewe usinisikitikie mimi bali msikitikie aliyekuzaa ukakosa aki
Experienced ******** ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌNakuuliza, Babu yako aliyekufa ni shujaa!!?
We nguruwe, nakuuliza, babu yako na nduguzo waliokufa ubadhani kifo kilipowapitia waligoma kwenda!??
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎWe nguruwe, nakuuliza, babu yako na nduguzo waliokufa ubadhani kifo kilipowapitia waligoma kwenda!??
Kama wewe ni nguruwe kiasi hiki na uko Jf, walioko nyumbani kwenu sasa wenyewe wakoje.?Experienced ******** ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌ
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎKama wewe ni nguruwe kiasi hiki na uko Jf, walioko nyumbani kwenu sasa wenyewe wakoje.?
Ni kweli hapo ndipo mwendazake alipokosea na huenda ndipo ilipomsababisha ashindwe kutimiza malengo yake !!!Ujasiri wa kuvunja mikataba waliyoingia wenzako bila kuwachukulia hatua? Tunaposema madaraka ya rais yapunguzwe na nguvu kuhamia kwenye taasisi hamtaki, maana mnajua ccm haiwezi kuendelea kukaa madarakani kwa mifumo yenye nguvu. Mnataka kumsifia mchafu aliyekuwa anapambana na asiowapenda badala ya wizi.
malipo husika yalishafanyika mwaka janaWaseme tu pesa zinaenda kwa mstaafu fulani
Mungu atunusuru