Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Wamezindua MASHINE YA UTEUZI?
Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na jukumu la kutoa taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma kwa usahihi,wakati na kwa uaminifu mkubwa..ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
 
Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
Kwanini sasa hivi taarifa za wateule zinahifadhiwa na nini?

Ukitaka kuangalia mafaili ya mtu unayetaka kumteua unaangalia wapi?
 
Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
Kwenye hili naunga mkono hoja after mishap ya juzi
 
Kwenye hili naunga mkono hoja after mishap ya juzi
Huu mfumo nafikiri utakuwa mzuri sana na kusaidia sana maana utaifanya mamlaka ya uteuzi kuwa na ufahamu wa kina wa utendaji kazi wa kila kiongozi wa shirika na taasisi ya umma.na hivyo kujuwa ni yupi ni kikwazo katika kufikia malengo na yupo aongezewe nguvu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu ,amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wasirudie kuteua marehemu kushika nafasi...!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu ,amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni jambo jema
 
Wasirudie kuteua marehemu kushika nafasi...!!
Ningependa kukutaarifu ya kuwa uteuzi huwa unaweza kufanyika hata Wiki moja kabla ya kutangazwa, ndio maana wakati mwingine unaweza kuona barua imesema uteuzi huu ulianza tarehe fulani.
 
Sawa, lakini wasirudie kuteua marehemu
Mamlaka haikuteua Marehemu bali Mtu alifariki baada ya kuwa jina lake lilishakwenda mezani kwa Rais na kupitishwa kupewa uteuzi. Kwa hiyo alifariki akiwa tayari jina lake limepata uteuzi.
 
Mamlaka haikuteua Marehemu bali Mtu alifariki baada ya kuwa jina lake lilishakwenda mezani kwa Rais na kupitishwa kupewa uteuzi. Kwa hiyo alifariki akiwa tayari jina lake limepata uteuzi.
Utaacha lini uwongo?

Soma hapa

 
Siyo kweli na unadanganya tu.
Mbona Huwa mnaahirisha kufikiri kwa nafsi yaani unyumbu, human herding an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and fear of their leaders
 
Utaacha lini uwongo?

Soma hapa

Hujaelewa hoja yangu. Hoja ni kuwa uteuzi hufanyika kabla. siyo kwamba uteuzi hufanyika siku hiyo hiyo na kutangazwa siku hiyo hiyo. Kumbuka huyo mtu alipata ajali na kufariki tarehe nne jioni na majina kutangazwa tarehe 6 ,hivyo taarifa zilikuwa hazijafika bado ikulu kuwa kafariki Dunia
 
Rc mliyemteua kamtoa mtoto wa watu kinyeooo 😄
Kweli kabisa hizi teuzi zinataka utulivu kwerikweri

Ova
 
Back
Top Bottom