Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

Kuna utaratibu unafanyika kabla ya kufanya uteuzi wa Mwisho.ikiwa ni pamoja na kupitia wasifu wa mhusika na uwezo wake wa kiuongozi na historia yake ya kiutumishi na kiutendaji katika maeneo ambayo amewahi kufanya kazi
Achana na huo upuuzi watu waombe washindanishwe Kwa CV na interview

Sema utaratibu umeshaanza kwenye kuchagua wakurugenzi wa bodi Sasa hivi zinatangazwa na interview zonafanyika inaonyesha uko nyuma ya wakati Iko outdated wanachoongelea ni ku extend mchakakato watu waombe waweke CV wafanye Interview wapewe post badala ya kuteua tu waimba kwaya za kusifu na kuabudu anayeteua ambao hamna kitu kichwani zaidi ya nyimbo za kusifu na kuabudu Kiongozi mteuaji

Kwa wakurugenzi wa bodi tayari mchakato ulishakamilika Bado hayo maeneo mengine yanakuja
 
Utasimamiwa na watanzania wazalendo ambao watawajibika kutoa taarifa za ukweli,sahihi na kwa uaminifu mkubwa sana kwa mamlaka ya uteuzi.
Mungu ajalie wawepo hao watu, ila mi nimekata tamaa na watanzania. Wabinafsi sana kiasi wanatesa watanzania wenzao maskini.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umesahau kuweka namba ya simu
 
Mungu ajalie wawepo hao watu, ila mi nimekata tamaa na watanzania. Wabinafsi sana kiasi wanatesa watanzania wenzao maskini.
Ni dhambi kukata tamaa .naomba usikate tamaa bali uwe na imani na matumaini makubwa sana kwa Mheshimiwa Rais na serikali yake
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mfumo sahihi ni kuondoa jukumu la uteuzi kwa Rais.
Badala yake nafasi zitangazwe watu wachuane kupata nafasi!
 
Duniani kwote zipo nafasi ambazo ni lazima zifanyiwe uteuzi na Rais.
Hilo sijakataa... Duniani huko wanafanya vizuri zaidi kuliko huko ccm.
Duniani inapobidi Rais kuteua still bado kuna mamlaka nyingine inawachuja!
 
Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na jukumu la kutoa taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma kwa usahihi,wakati na kwa uaminifu mkubwa..ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
Mifumo ya kujipendekeza kwa rais haiwezi kuwa na tija yoyote, zaidi ya kuwatafutia makada wa ccm ulaji wakiukosa mahali pengine. Kama hii iliyopo haina tija, huo mwingine utapata wapi tija zaidi ya kuongezea wananchi mzigo Ili kuwalipa Wala kodi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hahaha ha!....hebu kwenda huko!
 
I strongly recommend that any transformation starts with articulating organisation’s vision, mission, and core values. Once that’s done, Boards should map out a strategic roadmap that outlines specific milestones, timelines, and success metrics. With this foundation, Government entities and parastatals will have a unified purpose that fuels their efforts and keeps them on successful track hence contributes heavily in our treasury and sustainable development .
 
CCM hawajawahi kufanya kitu cha maana zaidi ya kuiba kura, na kulazimisha kutawala.
 
Back
Top Bottom