Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

Serikali Kuja na Mfumo Maalumu wa Kusaidia mamlaka ya Uteuzi kufanya uteuzi kwa Usahihi

Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu ,amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Edit thread Mkuu maana umesahau kuandika namba za simu
 
Wale mawaziri Fulani wa jpm waliwatoa wakaweka watu wao like kabudi and lukuvi.
Togorani akapewa ubalozi saivi akawa motivisheni speaker kuhamisisha watu wajiajrii wakati akamlilia jk akamwambia Maza akapewa ubalozi huko anaakula Raha zake
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu ,amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Amesahau kumtaja underdog muhun wa Lumumba aliyepewa shirika nyeti. The file ilipenyezwa mama akamwaga wino

Hii nayo Ina justification gan
 
Mi nashauri huo mfumo uruhusu watu kutuma maombi ya hizo nafasi...
Ili hata ambao wapo nje ya mfumo wapate nafasi...
Sio watu walewale kila siku
 
Kwanini sasa hivi taarifa za wateule zinahifadhiwa na nini?

Ukitaka kuangalia mafaili ya mtu unayetaka kumteua unaangalia wapi?
Tatizo wala si mfumo, ni hao watakaokuwa nyuma ya huo mfumo. Kama ni hawa hawa hakuna kitakachobadilika
 
Mfumo mzuri ni wa interview watu post kubwa aombe na interview zifanyike open kwenye post kubwa kwenye Tv live

Huu utaratibu wa kuteua watendaji wakuu vyumbani uishe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu ,amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Look , CCM mnatakiwa kuwa na AKILI. Hizo ni nafasi za Umma na sio nafasi za Samia au any body else, Nafasi za Uteuzi zinatakiwa kufuata taratibu za Uajiri.

Nafasi za Uteuzi zinatakiwa kutangazwa na watanzania wenye Sifa wanawasilisha maombi, na kunakuwa na independent committe ya interview kuangalia Qualification na meritocracy ya kila mmoja pamoja na competence based on area of expertise na management skills or leadership skills.


Baada ya Written na Oral interview with all that , Top 3 candidates wanakuwa picked up for vetting na presidential appointments.

Timu ya state chini ya mamlaka ya Uteuzi itafanya thoroughly review na kupropose only one name with specific reasons among 3 candidates.

Hao wawili kwa kufikia hiyo hatua, wanaweza kuwa reserved au wakatafitiwa maeneo mengine ya kusimamia.
Mkifanya hivyo mtaona mambo ya kuchomekewa wahuni au kuwa na incompetence kama yatakuwepo.

TEUZI zenu za sasa ni connection na Uchawa ndio maana mashirika ya Ummq yanakufa. Mabogus yenye uwe wa kujipendekeza na uchawa ndio wanakuwa endorsed kusimamia taaisis.

Kwa mfano Shirika kama la NHIF, lina opportunity nyingi za kuboresha huduma za Afya kwa watanzania, but je CEO wa sasa anazo skills ? Ana innovative brain , mtu wa accounting anaenda kusimamia shirika la Afya linalotakiwa kuhudumia watu mil 60. Ni aibu kwa karne ya sasa kuna watanzania hawana bima ya Afya .

Weken nafasi za uteuzi kwenye mchakato wa ajira na wenye Sifa wapqmbane. We don’t need connection kwenye maeneo ya msingi. Tunahitaji competence
 
Look , CCM mnatakiwa kuwa na AKILI. Hizo ni nafasi za Umma na sio nafasi za Samia au any body else, Nafasi za Uteuzi zinatakiwa kufuata taratibu za Uajiri.

Nafasi za Uteuzi zinatakiwa kutangazwa na watanzania wenye Sifa wanawasilisha maombi, na kunakuwa na independent committe ya interview kuangalia Qualification na meritocracy ya kila mmoja pamoja na competence based on area of expertise na management skills or leadership skills.


Baada ya Written na Oral interview with all that , Top 3 candidates wanakuwa picked up for vetting na presidential appointments.

Timu ya state chini ya mamlaka ya Uteuzi itafanya thoroughly review na kupropose only one name with specific reasons among 3 candidates.

Hao wawili kwa kufikia hiyo hatua, wanaweza kuwa reserved au wakatafitiwa maeneo mengine ya kusimamia.
Mkifanya hivyo mtaona mambo ya kuchomekewa wahuni au kuwa na incompetence kama yatakuwepo.

TEUZI zenu za sasa ni connection na Uchawa ndio maana mashirika ya Ummq yanakufa. Mabogus yenye uwe wa kujipendekeza na uchawa ndio wanakuwa endorsed kusimamia taaisis.

Kwa mfano Shirika kama la NHIF, lina opportunity nyingi za kuboresha huduma za Afya kwa watanzania, but je CEO wa sasa anazo skills ? Ana innovative brain , mtu wa accounting anaenda kusimamia shirika la Afya linalotakiwa kuhudumia watu mil 60. Ni aibu kwa karne ya sasa kuna watanzania hawana bima ya Afya .

Weken nafasi za uteuzi kwenye mchakato wa ajira na wenye Sifa wapqmbane. We don’t need connection kwenye maeneo ya msingi. Tunahitaji competence
Nashukuru kwa maoni yao mazuri na yenye dhamira njema kwa ustawi wa Taifa letu.
 
Mfumo mzuri ni wa interview watu post kubwa aombe na interview zifanyike open kwenye post kubwa kwenye Tv live

Huu utaratibu wa kuteua watendaji wakuu vyumbani uishe
Kuna utaratibu unafanyika kabla ya kufanya uteuzi wa Mwisho.ikiwa ni pamoja na kupitia wasifu wa mhusika na uwezo wake wa kiuongozi na historia yake ya kiutumishi na kiutendaji katika maeneo ambayo amewahi kufanya kazi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu ,amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.

Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.

Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.

Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lukaaaa 😂😂😂 msemaji wa serikali ya maza
 
Lukaaaa 😂😂😂 msemaji wa serikali ya maza
Mimi siyo msemaji wa serikali bali ni mkulima wa kawaida tu ninayefurahishwa na uchapakazi wa Rais Samia na serikali yake pamoja na uzalendo wa Rais wetu kwa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom