Lucas Punguza Siasa.Nashukuru kwa maoni yao mazuri na yenye dhamira njema kwa ustawi wa Taifa letu.
Achana na huo upuuzi watu waombe washindanishwe Kwa CV na interviewKuna utaratibu unafanyika kabla ya kufanya uteuzi wa Mwisho.ikiwa ni pamoja na kupitia wasifu wa mhusika na uwezo wake wa kiuongozi na historia yake ya kiutumishi na kiutendaji katika maeneo ambayo amewahi kufanya kazi
Mungu ajalie wawepo hao watu, ila mi nimekata tamaa na watanzania. Wabinafsi sana kiasi wanatesa watanzania wenzao maskini.Utasimamiwa na watanzania wazalendo ambao watawajibika kutoa taarifa za ukweli,sahihi na kwa uaminifu mkubwa sana kwa mamlaka ya uteuzi.
Umesahau kuweka namba ya simuNdugu zangu Watanzania,
Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.
Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.
Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.
Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni dhambi kukata tamaa .naomba usikate tamaa bali uwe na imani na matumaini makubwa sana kwa Mheshimiwa Rais na serikali yakeMungu ajalie wawepo hao watu, ila mi nimekata tamaa na watanzania. Wabinafsi sana kiasi wanatesa watanzania wenzao maskini.
Nimeacha nafasi ili uweke hata yako.Umesahau kuweka namba ya simu
Mfumo sahihi ni kuondoa jukumu la uteuzi kwa Rais.Ndugu zangu Watanzania,
Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.
Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.
Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.
Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Duniani kwote zipo nafasi ambazo ni lazima zifanyiwe uteuzi na Rais.Mfumo sahihi ni kuondoa jukumu la uteuzi kwa Rais.
Badala yake nafasi zitangazwe watu wachuane kupata nafasi!
Hilo sijakataa... Duniani huko wanafanya vizuri zaidi kuliko huko ccm.Duniani kwote zipo nafasi ambazo ni lazima zifanyiwe uteuzi na Rais.
Hivi wajinga wapo ccm au chadema? Mfano Lisu, mdude nk hawa si ni wajinga hawaWaache teuzi za kutumia wajinga wachache waliojaa CCM.
Umesema ukweli mtupu ambao najuwa utawauma sana CHADEMA lakini ndio ukweli wenyeweHivi wajinga wapo ccm au chadema? Mfano Lisu, mdude nk hawa si ni wajinga hawa
Mifumo ya kujipendekeza kwa rais haiwezi kuwa na tija yoyote, zaidi ya kuwatafutia makada wa ccm ulaji wakiukosa mahali pengine. Kama hii iliyopo haina tija, huo mwingine utapata wapi tija zaidi ya kuongezea wananchi mzigo Ili kuwalipa Wala kodi?Huu ni mfumo utakaokuwa chini ya hazina ,ambao utakuwa na jukumu la kutoa taarifa zote za kiutendaji za viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma kwa usahihi,wakati na kwa uaminifu mkubwa..ili kumsaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi kwa usahihi.
Kwani Hawa ni wajinga au hawajipendekezi kwa watawala?Hivi wajinga wapo ccm au chadema? Mfano Lisu, mdude nk hawa si ni wajinga hawa
Sahihi kabisaMfumo sahihi ni kuondoa jukumu la uteuzi kwa Rais.
Badala yake nafasi zitangazwe watu wachuane kupata nafasi!
Tena wapewe Kwa mkataba Mfano miaka mitano halafu apimwe kama anastahili kuongezewa mkatabaMaRC,MaDc na Maded pia huu mfumo ungesaidia kuwapata .
Mfumo wa sasa ni janga la Taifa
Hahaha ha!....hebu kwenda huko!Ndugu zangu Watanzania,
Msajili wa Hazina Mheshimiwa Nehemia Mchechu, amesema ya kuwa wapo katika hatua za Mwisho katika kukamilisha mfumo maalumu utakaosaidia na kuiwezesha mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi katika uteuzi wa viongozi mbalimbali wa mashirika na taasisi za Umma.
Ameyasema hayo katika uwasilishaji wa Gawio na michango kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali za umma mbele ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Amesema kuwa mfumo huo utakuwa na kazi na wajibu au jukumu la kutoa taarifa za kiutendaji kwa kila kiongozi kwa usahihi,kwa uaminifu na kwa wakati kwa mamlaka za uteuzi, Ili kusaidia mamlaka ya uteuzi kufanya maamuzi sahihi.
Akatolea mfano kuwa kuna wakati kuna kiongozi aliondolewa katika nafasi yake na baadaye kurudishwa tena baada ya Mwenyekiti wake kutoa maelezo mazuri yaliyoonesha kuwa mhusika alikuwa amefanya kazi nzuri katika nafasi yake.
Mheshimiwa Nehemia Mchechu ameomba radhi Kwa Mheshimiwa Rais kuwa wao kama hazina walimuangusha Mheshimiwa Rais, na ndio maana wameamua kujisahihisha kwa kuja na mfumo huo utakao kuwa muarobaini na msaada kwa mamlaka ya uteuzi kufanya uteuzi na maamuzi sahihi ,kwa kuangalia na kusoma taarifa zenye ukweli na usahihi juu ya utendaji kazi wa viongozi mbalimbali wa taasisi na mashirika ya umma.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.