Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Mradi upi huo?

Mradi pekee utakaotatua tatizo la umeme Tanzania ni Julius Nyerere Hydropower Project. Huu ukijumlisha na miradi ya gesi ya Kinyerezi, itakuwa ni suluhisho la kudumu la uhaba wa umeme nchini, wakati huo huo, mpango mkakati wa muda mrefu ukiwa Power Sufficiency kwa kuweka emphasis zaidi kwenye CHEAP SUSTAINABLE POWER GENERATION. Hii ni Afya both kwa local economy pamoja na kuvutia wawekezaji wa nje hususani viwanda vikubwa vinavyohitaji umeme mwingi lakini wa bei nafuu.

Kinyume na hapo ni matumizi mabaya ya rasilimani fedha yatakayozidi kuongeza madeni na mwisho wa siku gharama kubwa kwa wananchi.

Unreliable Power Supply means inefficient overall economy.
 
Waziri Makamba amesema wanakuja na mradi wa Dola billioni 1.9 kutatua tatizo.

Nauliza huu mradi ameukuta ofisini au umebuniwa ndani ya hii miezi yake 4.

Kama hajaukuta umepitishwa na bajeti ipi?
Hiyo timu ipo kazini kuiba, tatizo la umeme wamelibuni wao na wanataka kulitatua wao. Watanzania wanatakiwa wafanye maamuzi magumu.
 
Sisiyemu tegemea ili baada ya miaka 60 na sijui kama wengi tutakuwapo
 
Waziri Makamba amesema wanakuja na mradi wa Dola billioni 1.9 kutatua tatizo.

Nauliza huu mradi ameukuta ofisini au umebuniwa ndani ya hii miezi yake 4.

Kama hajaukuta umepitishwa na bajeti ipi?
Yule swahiba wake aliyeuza gas kule Mtwara anataka kutuvurugia mstakabali wa nchi, naye alikuja kihivi matokeo gas imeota mbawa
 
Hii inasikitisha sana, kama wataalam tunao, contracts tunao, wakaguzi tunao, visibility study imefanyika, na wote wanalipwa....
Hivi kwanini haya mambo hayatokei huko nchi zilizo endelea...??
Kifupi huu mradi hawautaki, na sioni sababu ya kuendelea nao ikiwa hawautaki. Waje na mradi wanaoutaka, ili hivi visingizio visiwepo
 
Huu upuuzi tusiukubali kama taifa... hawa watu hawafai kwa maslahi ya taifa. Ni watu sijui wa namna gani hawa..Yani bwawa la Nyerere litelekwezwe,? Bwawa limeliziwe,.huu ujinga ufikie kikomo.

Kama mradi wa umeme wa gas Magufuli aliupotezea na tukakaa kimya, hawa wengine watashindwa vipi kuutelekeza huu wakwake wa maji? Ingekuwa wanakaa madarakani kwa box la kura wangeogopa wananchi, lakini hii ya kukaa madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola watafanya watakalo. Bila machafuko hatuwezi kurudi kwenye mstari.
 
Kwani Makamba ni CHADEMA ambao Jiwe alisema wanachelewesha maendeleo?
 
Back
Top Bottom