Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Magufuli alitoa sababu,kuwa gesi pamoja na kuwa yetu tunainunua kwa bei kubwa Maana iliisha uzwa zamani, Ndio Maana kaamua kuanzisha mradi mwingine wa kutupatia umeme wa kutosha tena kwa bei nafuu.Sasa hawa majambazi wanaturudisha kule tulikokuwa tuna pakimbia.Mungu atawapiga raana tu acha watuibie tu.
Mbona huo mpango hata huja uona halafu una upinga? Labda ni maboresho tu ya mipango iliyopo unajuaje?
 
Kama mradi wa umeme wa gas Magufuli aliupotezea na tukakaa kimya, hawa wengine watashindwa vipi kuutelekeza huu wakwake wa maji? Ingekuwa wanakaa madarakani kwa box la kura wangeogopa wananchi, lakini hii ya kukaa madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola watafanya watakalo. Bila machafuko hatuwezi kurudi kwenye mstari.
Mkuu lini unaanzisha machafuko ili tukuwahi kabla hujaleta madhara?
 
Kwani kuna tatizo la umeme?

Si kasema jana tu kuwa hii katakata ni "service" tu ambayo haikuwahi kufanyika kwa miaka mitano.

Nadhani hii wizara inahitaji mtu serious siyo watu wa porojo sampuli ya Makamba.
System ikiamua anaweza kuwa Rais na akaongoza vizuri tu.kwani Mama na Nape nani? Mwenye ushawishi kisiasa mbona anaweza?
 
From day one, mm nilisema Makamba hafai hafai kabisa. I will not talk this anymore.

Mambo gani haya, huyu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji.
 
Mbona huo mpango hata huja uona halafu una upinga? Labda ni maboresho tu ya mipango iliyopo unajuaje?
Sh trillion 4 na kitu ,anasema anakuja na mpango mpya, kwanini asiseme ana Mpango wa kumalizia hilo bwawa ili tuweze kupata umeme wa uhakika, maana hizo ela zinamaliza hilo bwawa na kubaki, Makamba ni fisadi anatafuta ela ya kuonga ili apate urais.
 
System ikiamua anaweza kuwa Rais na akaongoza vizuri tu.kwani Mama na Nape nani? Mwenye ushawishi kisiasa mbona anaweza?
Duuh

Kwahiyo mkuu unataka kutuambia kuwa system imeamua Makamba awe ??
 
Sh trillion 4 na kitu ,anasema anakuja na mpango mpya, kwanini asiseme ana Mpango wa kumalizia hilo bwawa ili tuweze kupata umeme wa uhakika, maana hizo ela zinamaliza hilo bwawa na kubaki, Makamba ni fisadi anatafuta ela ya kuonga ili apate urais.
Umesikiliza hotuba yake bungeni kuhusu hili?
Nena youtube
 
Back
Top Bottom