Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Serikali kuja na mradi wa Dola bilioni 1.9 kutatua tatizo Umeme

Makamba simtetei ila mtu ata haja sikiliza alicho sema na kudhibitisha tayari ana hukumu.
 
Mafisadi bwana wanatunga mitihani wenyewe ili watuuzie majibu suluhisho peke la kutatua tatizo la umeme ni bwawa la mwalimu Nyerere tu miradi mingine ya ni yakifisadi
 
Mtu ana miezi minne tu kwenye wizara eti ana piga hela. Hela ya serikali haitoki kama ilivyo shushwa manna
 
Dola bilioni 1.9 ukitoa 10% unapata ngapi kwa mnaojua mahesabu?
 
Sukuma gang wanahangaika kuonyesha Kalemani alifanya kazi, alikuwa anafanya utapeli tu na hatarudi, hata uzalishe umeme kiasi gani, kama hauna miundombinu ya kuufikisha kwa wateja ni kazi bure, kwa Sasa lazima kazi maalum ifanyike kulifuta kundi la sukuma gang na mawakala wake, nashauri Idara za usalama zijipe miaka kumi au ishirini kufuta kabisa kundi hili linalohatarisha usalama wa nchi na utangamano. Dola haijawahi kushindwa na itawadhibiti na kuwafuta wote
Sukuma geng ni neno la kinafiki lililoanzishwa na mafisadi, vyeti feki, wavivu, timu gaidi lenye lengo la kumchafua magufuli kwa chuki na hila
 
Kama mradi wa umeme wa gas Magufuli aliupotezea na tukakaa kimya, hawa wengine watashindwa vipi kuutelekeza huu wakwake wa maji? Ingekuwa wanakaa madarakani kwa box la kura wangeogopa wananchi, lakini hii ya kukaa madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola watafanya watakalo. Bila machafuko hatuwezi kurudi kwenye mstari.
Huo mradi wa bwawa ulikuwepo kabla ya gesi tokea enzi za Nyerere, walikuwa wana upotezea Magu akaamue aendeleze idea za Nyerere sababu umeme wa maji ni cheap kuliko wa gesi.

Gesi yenyewe haieleweki wakati inazinduliwa tuliambiwa umeme utashuka bei matokeo ni vice versa.

Makamba ikiwezekana aseme tu haendelei na ujenzi wa bwawa la umeme, awalipe wakandarasi hela yao wanayo idai, lile bwawa tulitumie kama makumbusho fulani ili tukafanye utalii tupige picha na familia zetu waendelee kula kwa urefu wa kamba zao.

Then yy aendelee kufanya atakachi kwani nchi wameishiaka wao na baba zao.
 
wewe hiyo miaka mitano ulipigwa wapi na uliibiwa nini!
Hujui kitu Inawezekana ulikuwa sehemu ya mate so ya watu, watu wamefilisiwa mifugo yao. Njoo karagwe uone mazizi ya ngo'mbe za dhuruma.
 
Huo mradi wa bwawa ulikuwepo kabla ya gesi tokea enzi za Nyerere, walikuwa wana upotezea Magu akaamue aendeleze idea za Nyerere sababu umeme wa maji ni cheap kuliko wa gesi.

Gesi yenyewe haieleweki wakati inazinduliwa tuliambiwa umeme utashuka bei matokeo ni vice versa.

Makamba ikiwezekana aseme tu haendelei na ujenzi wa bwawa la umeme, awalipe wakandarasi hela yao wanayo idai, lile bwawa tulitumie kama makumbusho fulani ili tukafanye utalii tupige picha na familia zetu waendelee kula kwa urefu wa kamba zao.

Then yy aendelee kufanya atakachi kwani nchi wameishiaka wao na baba zao.

Kabla ya umeme wa gas tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona hatukuwa nchi yenye umeme bei rahisi hata kwa viwango vya East Africa? Kika anejenga project fulani anasema huduma hiyo itakuwa bei rahisi, lakini uhalisia ni tofauti. Kwa mikopo iliyokopwa, huo umeme wa maji ungekuwaje rahisi?
 
Magufuli alipoutupilia mbali mradi wa gesi uliitisha kumkataaa??.
Punguza mahaba mtoto wa kiume.
Kama imekutekenya, anzisha mada ya mradi wa gesi ili tuchangie hoja.
 
Waziri Makamba amesema wanakuja na mradi wa Dola billioni 1.9 kutatua tatizo.

Nauliza huu mradi ameukuta ofisini au umebuniwa ndani ya hii miezi yake 4.

Kama hajaukuta umepitishwa na bajeti ipi?
IMG-20180405-WA0006.jpg
 
Kabla ya umeme wa gas tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona hatukuwa nchi yenye umeme bei rahisi hata kwa viwango vya East Africa? Kika anejenga project fulani anasema huduma hiyo itakuwa bei rahisi, lakini uhalisia ni tofauti. Kwa mikopo iliyokopwa, huo umeme wa maji ungekuwaje rahisi?
Swali simple tu project ya bwawa la Nyerere haizidi 5tn ,project hiyo gesi ambayo uchumbaji wake ni 70tn hapo hatujaja kwenye gharama za kuichakata hiyo gesi ,sasa ww unazani 5tn na 70tn ipi kubwa na ipi inalipika kirahisi? Na huyo atakaye chimba anarudisha vipi 70tn na kwa muda upi?


Umeme wa maji duniani kote ni uzalishaji wake ni rahisi. China sasa hivi anakaribia kumaliza ujenzi wa bwa kubwa duniani la kuzalisha umeme, usizani kwamba labda kashindwa kutumia nuklea kuzalisha umeme, uwezo huo anao ila kaangalia gharama.

Tatizo lako data hauna hebu soma hii habari iliyo letwa humu JF 2021 gharama za bei za umeme kwa nchi za EAC.

 
Waziri Makamba amesema wanakuja na mradi wa Dola billioni 1.9 kutatua tatizo.

Nauliza huu mradi ameukuta ofisini au umebuniwa ndani ya hii miezi yake 4.

Kama hajaukuta umepitishwa na bajeti ipi?
Ni mwendo wa kila mbuzi kula kulingana na urefu wa kamba yake! Mradi wa umeme wa Bwawa la mwalimu Nyerere ukikamilika utazuia ulaji uliozoeleka. Kwa hiyo lazima uwekwe pembeni kwanza watu wale!!
Sasa hebu niambieni, urefu wa kamba ya hangaya ni kilomita ngapi!!!!
 
Kabla ya umeme wa gas tulikuwa tunatumia umeme wa maji, mbona hatukuwa nchi yenye umeme bei rahisi hata kwa viwango vya East Africa? Kika anejenga project fulani anasema huduma hiyo itakuwa bei rahisi, lakini uhalisia ni tofauti. Kwa mikopo iliyokopwa, huo umeme wa maji ungekuwaje rahisi?
Mkuu umeongea jambo la maana sana, kila anayekuja anakuja na mradi wake na uongo wake.
Ila kwa nini siku za nyuma tulikua na umeme wa maji Ila haukua rahisi, hapa nadhani nadhani unakumbuka kuwa tulikua hatutegemei maji tu bali tulikua tunanunua kutoka kwa iptl, symbion, aggreko n.k na bei ilikua inflated sababu ya 10% haya nadhani unayakumbuka vizuri tu.
 
Back
Top Bottom