Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Hii ni mpya.
Serikali imesema itajenga vituo 3 vya michezo kwenye mikoa ya Geita, Dodoma na Dar es Salaam ambapo kila kituo kitagharimu bil.3.
Aidha Serikali itajenga kituo cha umahili wa michezo kwenye chuo cha michezo Malya kitakachoghadia kiasi cha 1.5 bln.
Binafsi sina tatizo na vituo hivyo ila nina tatizo na malengo ya hivyo vituo ni yapi.
Nachojua sports centre ni complex ambayo inatakiwa kuwa na facilities na viwanja vya michezo aina zote tena vyenye ubora kuanzia viwanja vya mpira wa miguu,kuogelea hadi golf na tennis.
Sasa unajiuliza bil.3 ndio zitafanya hayo yote? Huu ni utani na upotezaji wa fedha za walipa kodi.Vipaji gani vitakuzwa kwa staili hii?
Ni afadhari kujenga complex zenye hadhi kila Kanda na hizo pesa zingewekwa kwenye kituo kimoja Ili kuwe na tija badala ya kutapanya afu mwisho wa siku hakuna kitakachofanyika.
Serikali itazame upya mpango wake huu,mbaya zaidi wameenda kujenga kwenye mikoa ambayo hata haina uzito kwenye michezo.Geita na Dodoma michezo wapi na wapi?
Serikali imesema itajenga vituo 3 vya michezo kwenye mikoa ya Geita, Dodoma na Dar es Salaam ambapo kila kituo kitagharimu bil.3.
Aidha Serikali itajenga kituo cha umahili wa michezo kwenye chuo cha michezo Malya kitakachoghadia kiasi cha 1.5 bln.
Binafsi sina tatizo na vituo hivyo ila nina tatizo na malengo ya hivyo vituo ni yapi.
Nachojua sports centre ni complex ambayo inatakiwa kuwa na facilities na viwanja vya michezo aina zote tena vyenye ubora kuanzia viwanja vya mpira wa miguu,kuogelea hadi golf na tennis.
Sasa unajiuliza bil.3 ndio zitafanya hayo yote? Huu ni utani na upotezaji wa fedha za walipa kodi.Vipaji gani vitakuzwa kwa staili hii?
Ni afadhari kujenga complex zenye hadhi kila Kanda na hizo pesa zingewekwa kwenye kituo kimoja Ili kuwe na tija badala ya kutapanya afu mwisho wa siku hakuna kitakachofanyika.
Serikali itazame upya mpango wake huu,mbaya zaidi wameenda kujenga kwenye mikoa ambayo hata haina uzito kwenye michezo.Geita na Dodoma michezo wapi na wapi?