Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumwamini mtu kama Lipumba. Shithole!Wanapumbaza watu waonekane wako na wanyonge,au wameminywa posho wanajambisha mzigo utoke.
Kashikwa wapi?Mtu mzima akishikwa na haya huchutama
Bao la mkonoKashikwa wapi?
Huo ni mkono wa Mungu, hukumsikia Maradona?Bao la mkono
Vya kuchinja vitawapa shida sana mmshazoea vya kunyongaHuo ni mkono wa Mungu, hukumsikia Maradona?
Huu ndiyo udhaifu wa awamu ya tano.
......
Shauri yako, wewe baki unasemaga hivyo hivyo.Vya kuchinja vitawapa shida sana mmshazoea vya kunyonga
Who knows? Madudu wanayofanya mabaya sanaHivi yule mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi ni Jaji kweli , au ndio wale wale akina Mutungi ?
ongeza na 1+0 =19
[emoji15] cjui hao ni nchi gan jaman baba MTU mzima kunyosha miguu ivo n hatare
MakalioniKashikwa wapi?
Umezoea kushikwa makalioni, mbona unawaza makalio kila saa?Makalioni
Sasa si umeshikwa weweUmezoea kushikwa makalioni, mbona unawaza makalio kila saa?