kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Marekani siyo wajinga kama sisi huku. They have arleady seen the trick kabla hatujaona. Hizi sarakasi za kitoto zitawaponza.Hiyo ni movie kuwapoteza Wamarekani maboya kwa kuwa baadae CCM watasema "chaguzi zote huwa ni chaguzi huru na haki,si mnaona wenyewe Mkurugenzi alitaka kuharibu uchaguzi wa Korogwe tukamshughulikia...sisi kama ccm tunapenda chaguzi za huru na haki"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app