kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Marekani siyo wajinga kama sisi huku. They have arleady seen the trick kabla hatujaona. Hizi sarakasi za kitoto zitawaponza.Hiyo ni movie kuwapoteza Wamarekani maboya kwa kuwa baadae CCM watasema "chaguzi zote huwa ni chaguzi huru na haki,si mnaona wenyewe Mkurugenzi alitaka kuharibu uchaguzi wa Korogwe tukamshughulikia...sisi kama ccm tunapenda chaguzi za huru na haki"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akimchoka mtenda dhambi humnyamganya akili hata za kutofautisha kuku na mbuzi.
Siku hizi naona unaandika herufi nne tu na kupotea! Huna tena hoja. Itafika kipindi hata hezi herufi nne hutakuwa nazo tena. Muda ni Mwalimu mzuri. Nakutabiria utabidili ID humu JFAcha umbea.
Unataka herufi ngapi?Siku hizi naona unaandika herufi nne tu na kupotea!...
Huandiki essay Kama kawaida yako. Hebu tupe maoni yako kuhusu huyo mkurugenziUnataka herufi ngapi?
Muulize Lisu atakuambia. Sina muda.Huandiki essay Kama kawaida yako. Hebu tupe maoni yako kuhusu huyo mkurugenzi
Hahahahaha, jiandae kuvaa kanga moko mmeo nimeachana nae ashakunywa konyagi na sasa anafakamia supu ya pweza. Shughuli unayo leo Bi shostiMuulize Lisu atakuambia. Sina muda.
Mbona unafikiria kuolewa kila saa, kulikoni?Hahahahaha, jiandae kuvaa kanga moko mmeo nimeachana nae ashakunywa konyagi na sasa anafakamia supu ya pweza. Shughuli unayo leo Bi shosti
Narudia, mmeo leo kanywa konyagi na sasa anafakamia mchuzi wa pweza, nakushauri ukiwa Kama mke wa rafiki yangu kuwa usicheze mbali na kilainishiMbona unafikiria kuolewa kila saa, kulikoni?
Unawaza mume tu, duh kazi unayo.Narudia, mmeo leo kanywa konyagi na sasa anafakamia mchuzi wa pweza, nakushauri ukiwa Kama mke wa rafiki yangu kuwa usicheze mbali na kilainishi
Shauri yako, asiesikia la mkuu.....Unawaza mume tu, duh kazi unayo.
Acha mkuu, huyo hana rinda ni kujipigia tuu! Hawezi kusikia lolote!Shauri yako, asiesikia la mkuu.....
Subiri aje akufumue mapindo pindo
Kama unataka kubong'oa si umtafute bwana tu. Mbona una kilinyelinye?Shauri yako, asiesikia la mkuu.....
Subiri aje akufumue mapindo pindo
Kwamba sumaku ishakuwa Kama bakuli?Acha mkuu, huyo hana rinda ni kujipigia tuu! Hawezi kusikia lolote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bibie basi, mmeo karibia anafika. Asije kujua unachati na Mimi. Vipi kesho utanipa?Kama unataka kubong'oa si umtafute bwana tu. Mbona una kilinyelinye?
Duh, unawaza kuwa bibie tu. Unawashwa?Bibie basi, mmeo karibia anafika. Asije kujua unachati na Mimi. Vipi kesho utanipa?
FisiemOngeza nyingine. Zipo nyingi tu mtandaoni, hii moja haitoshi.