Serikali: Kuna ongezeko la watu wenye homa, kukohoa, mafua, maumivu ya mwili

Serikali: Kuna ongezeko la watu wenye homa, kukohoa, mafua, maumivu ya mwili

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Wizara ya Afya imebaini ongezeko la watu wenye dalili za homa, kukohoa, mafua, kubanwa kifua & maumivu ya mwili kuanzia Desemba 2021 hadi Machi 25, 2022, hali ambayo imekuwa ikitokea kwa miaka mitatu mfululizo. Wote wenye dalili hizo wametakiwa kwenda vituo vya afya kwa matibabu.
Afya.jpg

FPFOwo9XwAAQezl.jpg

 
Bora wametoa tamko,nilikuwa na hofu kwani mafua na uchovu vinatesa watu mtaani.
 
Back
Top Bottom