Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua mie .. jana usiku nilihisi ka hali ambako sio kawaida.. ila sasa hivi nipo sawaMimi yamenipiga nikaanza kutubu nikijua shimo linanihusu.
Mimi nilianza kuogea maji ya moto nikaacha hadi kutumia feni ndio nina siku ya tatu yameniachia...Mungu atunusuru.Nilijua mie .. jana usiku nilihisi ka hali ambako sio kawaida.. ila sasa hivi nipo sawa
Kaa mbali na feni ukitaka koga maji ya moto.Mimi pia nimebanwa na mafua makali sana. Hii imekaaje?
Tafuna kitunguu maji. Pia tangawizi na maji ya limao.Mimi pia nimebanwa na mafua makali sana. Hii imekaaje?
Mimi nilianza kuogea maji ya moto nikaacha hadi kutumia feni ndio nina siku ya tatu yameniachia...Mungu atunusuru.
Hebu jaribu Uji wa pilipili manga wakati wa Daku uone.Dah toka jana nimeanza kuona dalili ya homa kali na mafua
TakbiiirHebu jaribu Uji wa pilipili manga wakati wa Daku uone.
Group lako la damu..?Alhamdulillah rabbil alameen…kwa zaid ya miaka 20 nmepata homa mara mbili tu na mara ya mwisho 2006
Namshukuru sana Allah kwa neema hii ya Afya
Tengenezeni utaratibu wa kuwa mnakunywa mchanganyiko wa limao, tangawizi, pili pili walau mara tatu ndani ya wiki mbili bila ya kujalisha unaumwa mafua, homa au viungo…ni zaid ya hayo mataka taka sijui Pfizer sijui JJ n.k
Allah AkbarTakbiiir
Jifukizeni sasaLimeongezeka wimbi la Mafua makali hv karibuni. Mzigo Kama umerudi au ndo mambo ya vita?