Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nchi kombe la Dunia walinunua tiketi elfu 30 na wananchi walilipa nauli tu. Hiyo ni Moja ya promotion na hamasa kuelekea mechi husika.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapana, Serikali hipo vizuri na tunatoa misaada kwa mataifa mengine Kama Uturuki tumewapatia USD 1,000,000Suala la rais na waziri mkuu View attachment 2563030 kuahidi kununua tiketi za kutazama mpira kwenye mechi ya taifa stars, je ni dalili kwamba wananchi wake wana hali ngumu kiuchumi? Nini umuhimu wa kuwa na uwanja wa taifa kama kitega uchumi cha taifa?