Serikali kuondoa udhibiti wa sukari kutoka nje kisheria. Bashe adai anaenda kuwatikisa 'Big Boys'

Serikali kuondoa udhibiti wa sukari kutoka nje kisheria. Bashe adai anaenda kuwatikisa 'Big Boys'

Waziri Bashe akiwa Ikulu, Dar ameongelea sakata la sukari nchini.

Bashe: Wafanyabiashara wana option mbili tu, waache kuuza sukari, Serikali itatafuta option nyingine. Wenye viwanda wana option mbili, wafate utaratibu wa Serikali au waache hii kazi.

Serikali haiwezi kuruhusu, tumewaprotect vya kutosha kama nchi lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu mwezi wa sita kwenye Bunge la bajeti kama waziri mwenye dhamana ninapeleka mabadiliko ya sheria kwaajili ya ku libelarize biashara ya sukari, wata- compete na competing companies kutoka nje na wenyewe watapata incentives zilizo ndani ili kuwaprotect.

Hatuwezi kuendelea na irresponsible private sector kwenye nchi kwa hali hii inayoendelea. Wakulima wa miwa wako 12,500 nchini, tutasota mwaka mmoja, mabonde yale tutayageuza ya mpunga, there is no problem.. zipo nchi ambazo zimeacha kulima sukari.

Hii nchi inahitaji dikteta kamili na sio dikteta uchwara kama alivyokuwa magufuli.Wala uhaba wa sukari haipo nchi hii isipokuwa watu wanajua nchi haina uongozi.
 
Naam.

Na si kuwadhibiti wafanyabiashara wa sukari tu.

Soko la bidhaa zote inabidi lifunguliwe, si bidhaa za nje ziweze kuingia ndani tu, bali hata bidhaa za ndani ziweze kuuzwa nje kwa urahisi bila ukiritimba wa vibali.

Bei zipatikane kwa nguvu za supply and demand, si kwa serikali kulazimisha bei au kwa a heavily protected market.

Protectionism Tanzania haifanyi kazi. Inasababisha rushwa na matatizo ya oligopoly cabals.

Ikiwezekana hata TANESCO iondokewe monopoly turuhusu makampuni mengine yauze umeme, utaona baada ya mwaka tu TANESCO wananyooka. Sasa hivi wanaringa kwa sababu hakuna competition, ni kazima ununue umeme kwao.

Mtu aliyesoma uchumi akajua matatizo ya oligopoly ataelewa kwa nini sukari imekuwa ya bei ya juu Tanzania.

Ukielewa matatizo ya monopoly utaelewa kwa nini umeme ni shida Tanzania.

Ondoa hizo monopoly na oligopoly kwenye umeme na sukari respectively halafu uone matokeo.
Kamwe sukari isiwe mojawapo.wa bidhaa ambayo inabidi.itoke.nje ndio bei iwe.ndogo.
Huo ni ukiritimba wa mawazo .
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba viwanda vyetu vimezalisha sukari ya kutosha wafanyabiasha tu Kwa tamaa yao wameamua kupandisha bei ili wapate faida.
Wakati viwandani sukari ipo ya kutosha
 
huu mchakamchaka ni wa nguvu

chadema hawapendi mamuzi ya tija kama haya watapinga
 
Kamwe sukari isiwe mojawapo.wa bidhaa ambayo inabidi.itoke.nje ndio bei iwe.ndogo.
Huo ni ukiritimba wa mawazo .
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba viwanda vyetu vimezalisha sukari ya kutosha wafanyabiasha tu Kwa tamaa yao wameamua kupandisha bei ili wapate faida.
Wakati viwandani sukari ipo ya kutosha
Ukiritimba wa mawazo ni kusema serikali ndiyo inajua kila kitu, kila bidhaa lazima tuzalishe sisi. Ni kuacha kutumia mazuri ya free-market.

Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa "competitive advantage". Kama hatuna competitive advantage kwenye kitu, tuagize kutoka nje tu if it makes economic sense.

Utafanya protectionism kwenye sukari mpaka lini wakati viwanda havikui na wafanyabiashara wa sukari wanatumia fursa hiyo kupandisha bei na kupiga hela tu?

Ukiritimba ni the opposite of free-market. Wewe ndiye unahubiri ukiritimba kwa kukataa free-market.

Wafanyabiashara hawazalishi sukari ya kutosha makusudi ili sukari iwe chache.

Sukari ikiwa chache bei inapanda juu, kwa hivyo wafanyabiashara wanaweza kutengeneza faida ile ile au kubwa zaidi kwa kuzalisha sukari chache ukilinganisha na kuzalisha sukari nyingi. Kwa kucheza na bei tu.

Kwa mfano.

Ikiwa unazalisha kilo 50 za sukari, na kilo ni shilingi 6,000, hapo unapata shilingi 300,000.

Sasa, ukijua kwamba ukizalisha kilo 100, bei itashuka mpaka shilingi 3,000 (more supply, fall in price per laws of demand and supply ceteris paribus), ambayo itakurudisha kwenye mapato yaleyale ya shilingi 300,000, kwa nini uzalishe kilo 100 wakati unaweza kuzalisha kilo 50 na kupata mapato yaleyale ya kilo 100 kwa kuzidisha bei tu?

Ndicho wanachofanya wafanyabishara wa sukari.

Dawa yao ni kuruhusu sukari ya nje, itakayokuja kuuzwa kwa shilingi 3,000.

Watu wakizoea kununua sukari ya nje kwa shilingi 3,000, wafanyabiashara wa ndani nao watalazimika kuuza sukari yao kwa shilingi 3,000, bila kujali wamezalisha kilo 50 au 100.

*Bei na namba ni za kufikirika tu zimetumika kwa mfano, hazina uhalisi kabisa zaidi ya kuonesha mfano.
 
Muda utasema!
Kuna muda natamani kuhamia Zambia, huko hakuna ushetani wa kutesa raia
 
Haiwezekani kulinda wawekezaji vimeo kwa gharama ya kuwatwisha mzigo wananchi, kama kuna sukari nyingi huko nje na wafanyabiashara wanaweza kuagiza na mwananchi akaipata kwa unafuu tatizo ni nini, waachwe washindane kwenye soko huria ili serikali ilenge kumletea mwananchi unafuu wa maisha.​
Hapa nchini viwanda vyote vya sukari vinamilikiwa na wahindi ndio maana inakua rahisi kufanya kichezo mibaya….kagera sugar na mtibwa mmiliki mmoja…na tuna viwanda vinne tu hapa nchini kama sikosei!
 
Tuwe tu Wakweli Maandamano ya Chadema yamechangia pakubwa Waziri wa Kilimo mh Bashe kuwafokea Big Boys wa Sukari na kutengua ile sheria ya kuimport sugar

Kama unawajua Big Boys wa Sukari basi utakuwa umenielewa vizuri

Kwaresma Njema 😀🔥
 
Wenye viwanda vya sukari ndio wanunuzi wakubwa wa vibari vya kuagiza sukari kipitia makampuni ya watu wengine..50 Million to 100M.

Syndicate kubwa
 
Waziri Bashe akiwa Ikulu, Dar ameongelea sakata la sukari nchini.

Bashe: Wafanyabiashara wana option mbili tu, waache kuuza sukari, Serikali itatafuta option nyingine. Wenye viwanda wana option mbili, wafate utaratibu wa Serikali au waache hii kazi.

Serikali haiwezi kuruhusu, tumewaprotect vya kutosha kama nchi lakini kwa uwezo wa mwenyezi Mungu mwezi wa sita kwenye Bunge la bajeti kama waziri mwenye dhamana ninapeleka mabadiliko ya sheria kwaajili ya ku libelarize biashara ya sukari, wata- compete na competing companies kutoka nje na wenyewe watapata incentives zilizo ndani ili kuwaprotect.

Hatuwezi kuendelea na irresponsible private sector kwenye nchi kwa hali hii inayoendelea. Wakulima wa miwa wako 12,500 nchini, tutasota mwaka mmoja, mabonde yale tutayageuza ya mpunga, there is no problem.. zipo nchi ambazo zimeacha kulima sukari.

Acha yampate kipindi magu anapambana na hawa matycon yeye alikuwa anabwabwaja kuwa tunaua private sector..mbora amejua leo tuna irresponsible private sector but its top late
 
Kama watu wanaficha sukari..serikali ifanyeje? Wacha watu washindane. Tunapenda kutake advantage ya udhaifu wa mifumo yetu na kuumizana.
Hata mafuta inabidi tufilke tu huko maana uhuni ni mwingi sana
 
FB_IMG_1708676631768.jpg
 
Morogoro kuna viwanda kma vi 3 hiv ila sukari hakuna na ukiipata iko juuu sana kweli halafu BASHE AKAUJA KUONGEA NGOJERA ZAKE WAKATI BBT IMEMSHINDA RUZUKU YA MBOLEA IMEMSHIDA HAKUNA KAMPUNI YENYE MBOLEA SSA JE HUYU MRU KWELI NI WA KUMUAMIN KWELI? HAPANA
 
Kuliko haya mateso tunayopitia watanzania ni Bora tuagizege sukari kutoka nje mbona wese tunaagiza miaka yote na tunadunda tu. Kuliko huu ukiritimba wa viwanda vya sukari unaofanya mara mia tuagizege tu
 
Back
Top Bottom