Kwa hiyo nilivyokuelewa kwamba tatizo sio uzalishaji wa ndani wa sukari Bali tatizo ni wafanyabiashara ambo kuwadhibiti ndio kama alivyoelekeza waziri kuagiza sukari kutoka nje.
Ndio hivyo au?
Naam.
Na si kuwadhibiti wafanyabiashara wa sukari tu.
Soko la bidhaa zote inabidi lifunguliwe, si bidhaa za nje ziweze kuingia ndani tu, bali hata bidhaa za ndani ziweze kuuzwa nje kwa urahisi bila ukiritimba wa vibali.
Bei zipatikane kwa nguvu za supply and demand, si kwa serikali kulazimisha bei au kwa a heavily protected market.
Protectionism Tanzania haifanyi kazi. Inasababisha rushwa na matatizo ya oligopoly cabals.
Oligopoly ni market ambayo inakuwa controlled na suppliers wachache.
Hapo ndipo wanene wachache wanapanga bei ya sukari kwa ku control supply. It is because if oligopoly. Ukiondoa hiyo oligopoly, hiyo cabalnitashindwa ku control supply, na hivyo itashindwa ku control bei.
This is what Bashe is doing.
Ingekuwa wafanyabiashara wa sukari Tanzania wana nia ya kujiendeleza, kuongeza uzalishaji, kupunguza bei ya sukari kwa ubunifu kwenye uzalishaji bila kuathiri faida, ku kidhi haja ya soko la ndani, ku expand mpaka ku export sukari nje, kwa miaka hiyo ambayo wamepata protection ya serikali, wangeweza.
Tatizo hawana nia hiyo, wana nia ya kuzalisha sukari kidogo na kuiuza kwa bei ya juu, ili kuoata faida kubwa kwa kuuza sukari ndogo.
Huu ni uhuni. This is proce gouging. Ni uhujumu uchumi.
Ikiwezekana hata TANESCO iondolewe monopoly turuhusu makampuni mengine yauze umeme, utaona baada ya mwaka tu TANESCO wananyooka. Sasa hivi wanaringa kwa sababu hakuna competition, ni kazima ununue umeme kwao.
Tanzania hata ikiwa mtu una uwezo wa kutengeneza umeme wa excess, kwa mfano wa solar, huwezi kuuuza umeme back into the grid, kwa sababu TANESCO wana monopoly ya kuuza umeme. Halafu tunalalamika umeme hautoshi. Ujinga mtupu.
Mtu aliyesoma uchumi akajua matatizo ya oligopoly ataelewa kwa nini sukari imekuwa ya bei ya juu Tanzania.
Ukielewa matatizo ya monopoly utaelewa kwa nini umeme ni shida Tanzania.
Ondoa hizo monopoly na oligopoly kwenye umeme na sukari respectively halafu uone matokeo.