kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Wewe una bima?maana hapo mnawatengenezea watu mianya ya kuendelea kula hela ,bima tu hii ya watumishi tayari psssf isha geuzwa kikoba cha kukopesha na dawa karibu 85% muhimu zimeondolewa halafu leo mnakuja na porojo ,si bure hii nchi ina viongozi wenye roho za kiuaji kabisaKwenye familia/ukoo mtu akiugua, mnaanza kuchangishana na pengine hata kufarakana na hata mgonjwa anaweza kufa kwa kukosa matibabu sahiohi kisa hamna hela ya kumtibu. Huu ni mfano mmoja tu, Sasa hapa kipi bora?