Waziri wa kilimo amesema kuwa acha solo liamue kuhusu Bei ya mazao.Ni sawa kwa maana ya kutaka wakulima wajikwamue.ndiyo maana Leo hii hata vijijini debe moja ya mahindi imefikia 25000 shilling ya kitanzania.
Lakini mh waziri unasahau madhara tamko lako.unasahau kuwa Kuna sehemu nyengine Serikali imeweka Bei elekezi na mahala pengine kusababisha migogoro mikubwa Kati ya walaji na watoa huduma.
Unaposema kuwa acha soko liamue kwenye kilimo ,kupitia Serikali ambayo wewe ni waziri acha soko liamue kwenye bidha zote na huduma zote nchi.kwa maana :
1.Acha wenye mabasi waamue Bei zao.
2.acha wenye bajaji waamue Bei zao.
3.acha wenye vituo vya afya waamue Bei zao .NHIF isiwapangie gharama waendesha huduma za afya .
4.Acha wenye usafiri wa ndege wajipangie Bei zao .
5.acha wenye shule wajipangie Bei zao .
6.acha wauza pombe na vinywaji kwa ujumla wajipangie gharama zao.
7.acha wauza mbolea wajipangie Bei zao.
Lakini ili kumudu mfumuko wa bei unaojitokeza kulingana Bei sokoni ,Serikali ijipange kuongeza mishahara minono kwa wafanyakazi wake .
Na mwisho tutaona 2025 CCM inapitaje !! Leo ukiwa na 100,000 yani unanunua debe moja tu ya mchele ??? daah.
Jumapili njema Wana JF
Lakini mh waziri unasahau madhara tamko lako.unasahau kuwa Kuna sehemu nyengine Serikali imeweka Bei elekezi na mahala pengine kusababisha migogoro mikubwa Kati ya walaji na watoa huduma.
Unaposema kuwa acha soko liamue kwenye kilimo ,kupitia Serikali ambayo wewe ni waziri acha soko liamue kwenye bidha zote na huduma zote nchi.kwa maana :
1.Acha wenye mabasi waamue Bei zao.
2.acha wenye bajaji waamue Bei zao.
3.acha wenye vituo vya afya waamue Bei zao .NHIF isiwapangie gharama waendesha huduma za afya .
4.Acha wenye usafiri wa ndege wajipangie Bei zao .
5.acha wenye shule wajipangie Bei zao .
6.acha wauza pombe na vinywaji kwa ujumla wajipangie gharama zao.
7.acha wauza mbolea wajipangie Bei zao.
Lakini ili kumudu mfumuko wa bei unaojitokeza kulingana Bei sokoni ,Serikali ijipange kuongeza mishahara minono kwa wafanyakazi wake .
Na mwisho tutaona 2025 CCM inapitaje !! Leo ukiwa na 100,000 yani unanunua debe moja tu ya mchele ??? daah.
Jumapili njema Wana JF