Replica JF-Expert Member Joined Aug 28, 2017 Posts 1,681 Reaction score 8,887 May 13, 2024 #1 Serikali imetenga bilioni 3.5 katika bajeti ya wizara ya afya kusimamia tafiti na matumizi ya matokeo ya tafiti mbalimbali katika afua za: Tafiti za magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo saratani Ufuatiliaji wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa Utafiti juu ya changamoto ya afya ya akili Matumizi ya Energy Drink Utafiti kuhusu nguvu za kiume Utafiti kuhusu dawa za tiba asili
Serikali imetenga bilioni 3.5 katika bajeti ya wizara ya afya kusimamia tafiti na matumizi ya matokeo ya tafiti mbalimbali katika afua za: Tafiti za magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo saratani Ufuatiliaji wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa Utafiti juu ya changamoto ya afya ya akili Matumizi ya Energy Drink Utafiti kuhusu nguvu za kiume Utafiti kuhusu dawa za tiba asili
N Nangu Nyau JF-Expert Member Joined Jul 1, 2022 Posts 5,015 Reaction score 14,139 May 13, 2024 #2 Inamaana siku zote hatufanyi tafiti? Tafiti inapaswa kuwa sehemu ya maisha ya Kila siku na sio zimamoto kila jambo linapokuwa out of control, tuache kuwa reactive, tujaribu kuwa proactive sasa.
Inamaana siku zote hatufanyi tafiti? Tafiti inapaswa kuwa sehemu ya maisha ya Kila siku na sio zimamoto kila jambo linapokuwa out of control, tuache kuwa reactive, tujaribu kuwa proactive sasa.