I'd mpya ndo zinaongoza kupost utumbo hapa JFMbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
Sasa yeye kiherehere cha nini wakati na yeye hajui? Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCMMbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Ufafanuzi wa nini na pesa zimeliwa?Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
Hivi kwa nini huwa hawafanyi cross checking ya taarifa kabla ya kuzitoa?
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
Huo muda wa kufanya wataupata wapi wakati wa juu anamwagiza wa chini na wa chini anamwagiza wa chini zaidi?Hivi kwa nini huwa hawafanyi cross checking ya taarifa kabla ya kuzitoa?
Uzembe kama huu Rais atumbue Mkurugenzi wa Takwimu,kwa nini mnawachekea Hawa watu?
Kuna siku watasababisha maafa.
Miaka 61 ya uhuru bado shule watoto wana kaa chini. Wamama wana jifungulia vichakani. Ccm majiziMbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.