Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye ndiye Msemaji wa Serikali?Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
Hao walioandaa kuhesabu wenyewe vilaza! Walipeana ili wapige pesa. Je tangu sensa ifanyike hadi Leo wametoka idadi ya waliofariki na kuwekana wazaliwa?! Huu mchezo wa danganya toto na pesa zimepigwa kisawasawa.
I'd mpya ndo zinaongoza kupost utumbo hapa JF
Kwa idadi Ile ya viongozi toka Kila mkoa na wilaya, hizo 480m ni makasirio ya chini Sana.Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
SENSA INGEWEZA KUTANGAZIWA IKULU BILA KURUSHA HELIKOPTA na MBWEMBWE NYINGINE NI UFUJAJI WA KODI ZA MASIKINIMbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani(CCM), Subira Mgalu amesema madai ya kuwa Serikali imetumia Shilingi Milioni 480 kwa ajili ya kutangaza matokeo ya Sensa haina ukweli wowote.
Subira Mgalu amesema Serikali pengine itatolea ufafanuzi suala hilo huku akiwataka wananchi kuwa na subra.
Hao walioandaa kuhesabu wenyewe vilaza! Walipeana ili wapige pesa. Je tangu sensa ifanyike hadi Leo wametoka idadi ya waliofariki na kuwekana wazaliwa?! Huu mchezo wa danganya toto na pesa zimepigwa kisawasawa.
Kwani Angela kwenye TV akatoa tangazo hizo mamilioni zingesaidia maskini maelfu walau kupunguza basi makali ya njaa!! Kuna mahali iko tatizo.
Zingeweza kusaidia kwenda kuzima moto unaoendelea kuteketeza viumbe hai huko Mlima Kilimanjaro. Nchi hii sijui CCM wamelogwa na Nani?Hao walioandaa kuhesabu wenyewe vilaza! Walipeana ili wapige pesa. Je tangu sensa ifanyike hadi Leo wametoka idadi ya waliofariki na kuwekana wazaliwa?! Huu mchezo wa danganya toto na pesa zimepigwa kisawasawa.
Kwani Angela kwenye TV akatoa tangazo hizo mamilioni zingesaidia maskini maelfu walau kupunguza basi makali ya njaa!! Kuna mahali iko tatizo.
Mrosho mpoto na hadithi zake 50mTIKETI ya ndege ya Rais Mwinyi na msafara wake plus chakula haipungui milion 100