Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

Serikali kutolipa mishahara watumishi kwa kisingizio cha kutojaza majukumu yao kwenye mfumo wa ESS ni unyang'anyi usiotumia Silaha

Lakini kumbuka huyo Mtumishi ametekeleza wajibu wake ofisini, mfumo huwezi kumnyima mtu haki kisa TU vigezo vya upimaji hajajaza online .
Ikiwa umeme TU ni changamoto na wananchi tunaivumilia Serikali basi Serikali nayo Ina wajibu wa kuvumilia watu wake maana idadi hiyo ilitakiwa kuimsha Serikali na kuanza kuchukua hatua hata ingetoa alert ya miezi 6 hivi kuwa asiyefanya hivi atafanyiwq hivi.
Watumishi wa serikali ndiyo serikali yenyewe. Sasa itajivumiliaje? Hapa kilichotokea ni serikali imeamua kujiwajibisha. BTW. Mfanye mjaze hizo fomu wandugu. Nimeshangaa kibanda changu biashara imedoda kumbe kuna watu zaidi ya laki hawajachukua mpunga!!
 
Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.

Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
  • Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
  • Kupata salary slip kupitia mfumo huu
  • Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.

Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza

Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.

Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.

Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.

Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.

Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.

Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
CCM imeipenda wenyewe Wacha iwanyooshe na Bi Mkubwa anaupiga mwingi
 
Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.

Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
  • Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
  • Kupata salary slip kupitia mfumo huu
  • Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.

Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza

Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.

Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.

Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.

Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.

Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.

Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
Kama mtu siyo mtumishi anaweza kudhani umeandika kitu cha maana kweli kweli!

Sikieni enyi msiokosa cha kusema; serikali haijakurupuka katika jambo hili na ndiyo maana watumishi walipewa muda wa kutosha kushughulikia mambo yote kwenye mfumo. Hata baada ya tarehe husika kufika ilipokuwa bado wengine hawajakamilisha watumishi waliongezwa muda tena na tena ili kuhakikisha tu haachwi mtu katika zoezi lile. Kukazuka matapeli sana wakiwatisha watumishi kuwatoa kwenye ajira kwa kutokujaza huo mfumo LAKINI SERIKALI ILIWATOA HOFU WATUMISHI NA KUWAONGEZA MUDA WA KUTOSHA PAMOJA NA NJIA NZURI ZA KUWASILIANA IN CASE OF CHANGAMOTO YOYOTE

Sasa ikitokea kuna wakurugenzi sijui wakina nani wamefanyiwa hicho usemacho (kama ni kweli) basi ni sahihi kabisa tena mimi naona ilitakiwa yazuiliwe mishahara matumishi yenyewe yaliyofanya uzembe na wala siyo mwajiri au afisa

Imagine kwa mfano Elimu, (naichukulia mfano kwakuwa ndiyo nina uzoefu nayo na ndio kada yenye idadi kubwa) watu wamepewa vishikwambi, kukaundwa magroup ya WhatsApp, kukaundwa timu mbalimbali za utatuzi wa maswala hayo ya kimfumo, kukatengwa siku maalum za kukutana watumishi wote wenye changamoto kwa ajili ya kulimaliza jambo hili kwa pamoja. Wataalamu wote wa Halmashauri (Maafisa Utumishi, Wakuu wa Idara, watu wa IT na TEHAMA, nk) wanakwepo hapo kuhakikisha changamoto zote wanasolve

Halafu baada ya hatua zote hizo linatokea lijitu lizembe liseme limeonewa kweli!
 
Ukiachana na hayo yote uliyoaandika,kimsingi watumishi wengi tu wazembe sana,tuvitu vidogovidogo tu hadi tusukumwe sukumwe kama gari bovu hadi wananchi wanatudharau.

Huo mfumo ni mrahisi mnoo lakini nashindwa kuelewa hao laki100 kama ni kweli haiingii akilini wote wawe hawajapewa role na wakuu wao,hawawezi kuwa wengi hivyo.

Acha kila mmoja awajibike ktk eneo lake
Wengi hawajui wajibu wao, kwa hili serikali nipo nayo, wajaze kama hawataki kweli wakatwe mishahara yao
 
Unamwitaje mtumishi mzembe wakati huu mfumo unahitaji mtandao na unajua baadhi ya sehemu hapa Tanzania ili uupate huo mtandao itakuhitaji utembee zaidi ya km50 kutoka eneo ambalo mtumishi anapofanya kazi jaribu kufanya research kuhusu upatikanaji wa mtandao hasa katika maeneo ya vijijini katika Tanzania hii ndo utajua kwa nini hii mifumo bado Tanzania haitawezekana bali tutakua tunaigiza maisha ya waliotuzidi
 
Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.

Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
  • Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
  • Kupata salary slip kupitia mfumo huu
  • Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.

Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza

Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.

Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.

Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.

Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.

Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.

Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
Timiza wajibu
 
Serikali ya awamu ya Sita iliachana na mfumo wa kujaza OPRASS kwenye makaratasi (nakala ngumu) badala yake ikatambulisha PEPMIS kupitia mfumo Employee Self Service kwa kifupi ESS.

Ikiwa na maana kwamba taarifa muhimu na za Msingi kuhusu Mtumishi zitakua kwenye mfumo huu.
Ikiwemo
  • Kujaza majukumu na utekelezaji wa majukumu yao.
  • Kupata salary slip kupitia mfumo huu
  • Uhamisho na kupata mkopo kupitia mabenki husika.
Kwa mwezi Februari baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa Utumishi Wilaya walilia kukosa mshahara kwa kisingizio hiki kwamba watumishi walio chini ya taasisi zao hasa Halmashauri hawajajisajili kupitia mfumo huu. Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Ikumbukwe mfumo huu ni Mpya na Elimu haijafikia watumishi hasa waliopo vituoni nikimaanisha kwenye Kata na Vijiji na wengi wao ni wale wazee wengine hata matumizi ya smartphone ni shida, mfano Watendaji wa Vijiji wale wa darasa la 7 , hata baadhi ya walimu hawajajua mfumo huu unavyofanya kazi.

Pamoja na changamoto lukuki kuhusu mfumo huu Serikali bado inachukua jukumu la kufungia mshahara wa Mtumishi wake aliyefanya kazi ofisini kwa siku 28 kisa TU hakujaza Sub Activity au Task na Sub Task kwenye mfumo kama kigezo cha upimaji , wakati kazini amehudhuria na amefanya kazi saa kiutumishi na muda mwingine amefanya kwa kupitiliza

Baadhi ya watumishi wanaangukia kwenye changamoto hii kutokana na Wakuu wao wa taasisi, mfano ikiwa Mkuu wa Idara/ Kitengo hakuwahi kukupa Role ama kwa kujisahau au kutokujua jinsi mfumo unavyofanya kazi maana yake mwezi husika hujafanya kazi kwa mwezi husika. Ikiwa hujaingia kwenye mfumo na huja submit sub task kwa Mkuu wako wa kazi unahesabika kuwa hujafanya kazi yoyote.

Pamoja kuwa Serikali ina nia nzuri kuleta huu mfumo isiwe kigezo cha kunyima watumishi mshahara kisa TU hawajapewa role na kujaza majukumu yao au kufanya tathimini kupitia mfumo huu.

Huu ni unyang'anyi usiotumia Silaha.

Baadhi ya Watumishi hao hao wamepanga wengine wanadaiwa kodi za nyumba.

Baadhi Watumishi hao wamefunga Kwaresima na Ramadhani wanahitaji kununua au kuwanunulia wazazi na ndugu zao chakula kwa ajili ya futari. Baadhi ya Watumishi maisha yao ni magumu hakuna mfano wanategemea huo mshahara kununua mahitaji muhimu Baadhi ya Watumishi wamekopa marejesho yanawasuburi.

Hii inaweza kuleta changamoto kwa baadhi ya Watumishi kuanza kuiba hasa kwa wakusanyaji wa mapato ya Serikali ikiwa ni kufidia mshahara wake aliozuiliwa na Serikali hivo kukosesha Serikali mapato.

Rai yangu
Serikali lipeni watumishi mshahara wa mwezi Machi, watumishi wengi watakaoumia sana sana ni wenye Mishahara ya chini.
Acha mbwembwe, jaza kazi zako, huu mfumo ni katika kuondoa, watumishi hewa!
Kama MTU hajajaza, automatic salary haiingii, system inafsnya kazi
 
Mkuu kuna ambao wanakimbilia kustaafu, hata kufungua smartphone hawajui, wengine wako chaka huko mtandao haupo tu akitaka kujaza lazima aende mjini.
Sio hivyo tu kuna mmoja imebidi niwe namsaidia kujaza na yupo mjini tu.
 
We jamaa Acha kutetea uzembe.

Unataka miezi mingapi kujaza hizi forms, kitu cha madakika tu mnataka mbembelezweeeee.

Watumishi wa serekali ni wavivu fullstop. Mnafanya kazi kwa mazoea.

Eti ujambazi, yaani unaambiwa jaza majukumu yako hutaki na unaita ujambazi. Badilikeni nyie watu, dunia inaenda kasi sana hii. Acheni kulea ujinga na uzembe
Una comment upuuzi tu tena hata ww ungekuwa mtumishi huenda usinge lipwa mshahara ww.
 
Sio swala kukwepa, mtu yupo kijijini huko hakuna mtandao anajazaje sasa ? Na hapo ndipo kituo cha kazi ??

Haya kujaza kunatakiwa kila siku ulichofanya hiyo pesa ya bando na gharama ziko hivi unafanyaje sasa ?
Kuna waropokaji tu humu kisa hawapo ajirani, hawa hawawezi elewa chochote
 
Una comment upuuzi tu tena hata ww ungekuwa mtumishi huenda usinge lipwa mshahara ww.
Acha uvivu na kupenda kulaumu. Jaza form na uwe una update kazi uzifanyazo fullstop. Hivyo tu yaani

Acha kufanya kazi kimazoea. Kila siku ruhusa hakuna productivity yoyote. We nitukane tu ila mwisho wa siku jifunze kufanya kazi na ku produce results. Usitafute excuses
 
Acha uvivu na kupenda kulaumu. Jaza form na uwe una update kazi uzifanyazo fullstop. Hivyo tu yaani

Acha kufanya kazi kimazoea. Kila siku ruhusa hakuna productivity yoyote. We nitukane tu ila mwisho wa siku jifunze kufanya kazi na ku produce results. Usitafute excuses
Acha ubwege ww mm na update kila siku, na sijawahi kosa mshahara ila kunawatu hawajui hayo matumizi la laptop ww unahisi kila mtu ana ujuzi huo? Kuna sehemu hamna hata network ya kumpigia mtu sim. Msiwe mnakurupuka ku comment upuuzi.
 
Back
Top Bottom