-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Narudia tena kukujuza.Dini Zao zinasemaje. Hiyo ndio Hoja ya MSINGI
Na kwa nini serikali inapewa taarifa wewe ikuume kana kwamba kuna hasara utapata kwa Wasabato kusikilizwa?
Ajabu ni kuwa Waislam wao hutowaona humu wakiandika vitu vya kipuuzi na chuki kama Wakristo.
Hii inashangaza Sana
Dini hazijawahi jua na impacts ktk kuendeleza raslimali au kutupatia viongozi bora tzSerikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea HAKI Wahitimu waumini wa kisabato.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Sabato Njema. (itikia Njema Sana).
Wahitimu wa kisabato wanasikitika baada ya baadhi Yao kukosa kwenda kwenye Usaili kutokana na siku iliyowekwa kwaajili ya Usaili ni siku ya ibada. Sikukuu ya Mungu wao wanaomuamini.
Ikumbukwe kuwa Sabato kwa waumini wa kisabato ni Moja ya amri kubwa na kuu wanaamini wameagizwa kuifuata na Mungu wao wakirejelea Torati ya Musa katika Biblia, katika Kutoka 20:8-11
Tunafahamu kuwa serikali huenda ilifanya kwa bahati mbaya kwa kusahaukundi hili la Wasabato. Na hatutaki kuamini kuwa imefanywa makusudi bila kujali au kwa kudharau Wasabato kwa Sababu zozote zile.
Wasabato sio Watu wakujihusisha na mambo ya siasa na kiserikali na hii huenda ni Moja ya sababu ya wao kusahaulika hata kwa mambo muhimu kama ya Ajira.
Mimi Kama Taikon Master, ambaye ni Msabato. Baada ya kupewa taarifa hiyo kwa kweli nilisikitika Sana. Nikaona kuinyamazia inaweza kujirudia na kuwafanya Wananchi wa Kitanzania, wanaoabudu katika dhehebu la Wasabato wanaweza kukosa Haki Yao kwa wakati Mwingine.
Serikali kupitia Wizara husika, ifuatilie Jambo hilo na kulifanyia marekebisho.
Taikon Acha nipumzike sasa.
Kesho tukutane, KANISA LA MWENGE SDA, DAR ES SALAAM.
SABATO NJEMA
Si kosa kumtii KAIZARI.Serikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea HAKI Wahitimu waumini wa kisabato.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Sabato Njema. (itikia Njema Sana).
Wahitimu wa kisabato wanasikitika baada ya baadhi Yao kukosa kwenda kwenye Usaili kutokana na siku iliyowekwa kwaajili ya Usaili ni siku ya ibada. Sikukuu ya Mungu wao wanaomuamini.
Ikumbukwe kuwa Sabato kwa waumini wa kisabato ni Moja ya amri kubwa na kuu wanaamini wameagizwa kuifuata na Mungu wao wakirejelea Torati ya Musa katika Biblia, katika Kutoka 20:8-11
Tunafahamu kuwa serikali huenda ilifanya kwa bahati mbaya kwa kusahaukundi hili la Wasabato. Na hatutaki kuamini kuwa imefanywa makusudi bila kujali au kwa kudharau Wasabato kwa Sababu zozote zile.
Wasabato sio Watu wakujihusisha na mambo ya siasa na kiserikali na hii huenda ni Moja ya sababu ya wao kusahaulika hata kwa mambo muhimu kama ya Ajira.
Mimi Kama Taikon Master, ambaye ni Msabato. Baada ya kupewa taarifa hiyo kwa kweli nilisikitika Sana. Nikaona kuinyamazia inaweza kujirudia na kuwafanya Wananchi wa Kitanzania, wanaoabudu katika dhehebu la Wasabato wanaweza kukosa Haki Yao kwa wakati Mwingine.
Serikali kupitia Wizara husika, ifuatilie Jambo hilo na kulifanyia marekebisho.
Taikon Acha nipumzike sasa.
Kesho tukutane, KANISA LA MWENGE SDA, DAR ES SALAAM.
SABATO NJEMA
Kitulize dogo. Hujui kitu. Hao ni cult wanatuattack kila jumamosi. Hawajielewi, kasome historia yao. Ni offshoots za CIA, na masonic lobbies. Mnadhani ni watu wa maana. Ogopa vidini vilivochipuka kutoka kwa watu binafsi.Huwezi kuta muislam anatoa maoni hivi.
Wakristo ndio hujitambulisha hivi.
Unajua maana yake?
Hizi ratiba za weekend zinasaidia hata watumishi wengine kufika na kufanya hizo usaili bila kuomba rhusa.Kwa imani yao wako sawa , serikali yangu pendwa isikilize madai yao kwani kila mtu yuko sahihi kwa anachokiamini.
Wote ni watanzania basi wasikilizwe .
Serikali inaweza kuwajali watu wake kwa vile inaongoza watu wenye mitazamo na imani tofauti ,mbona kipind cha uchaguzi au sensa hupeleka nyama kwa wahadzabe ili washiriki?Hizi ratiba za weekend zinasaidia hata watumishi wengine kufika na kufanya hizo usaili bila kuomba rhusa.
Hata huko vyuoni kuna muda iwe ijumaa, jmos ama j2 pepa huwa zinapigwa.
Sema huyo father alitumia ubabe tu na chuki naamini asingekubali UE ifanyike jumapili tena muda wa ibada pia huyo father alikuwa Haifa kuendesha chuo level yake ilifaa aendeshe seminar sema uzuri wangekata rufaa TCU na taasisi nyingine wangeshindaHawa Wasabato waliwahi kuwa deregisterd pale SAUT kipindi cha VC Father Dk. Kitima na DVCA (Sasa Baba Askofu) Dk. Bernidine Mfumbusa walipokataa kufanya mitihani yao ya UE siku ya Jumamosi!
Ninsahihi ni pamoja na kutenda kama hivyo, kuweka ratiba hata hizo weekend ni namna mojawapo ya kujali.Serikali inaweza kuwajali watu wake kwa vile inaongoza watu wenye mitazamo na imani tofauti ,mbona kipind cha uchaguzi au sensa hupeleka nyama wa wahadzabe ili washiriki?
Serikali ina haki ya kumjali kila kwa vile haina dini ila watu wake wana dini.
Mimi siku yangu ya Ibada ni J3 sijui nitasikilizwa.Serikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea HAKI Wahitimu waumini wa kisabato.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Sabato Njema. (itikia Njema Sana).
Wahitimu wa kisabato wanasikitika baada ya baadhi Yao kukosa kwenda kwenye Usaili kutokana na siku iliyowekwa kwaajili ya Usaili ni siku ya ibada. Sikukuu ya Mungu wao wanaomuamini.
Ikumbukwe kuwa Sabato kwa waumini wa kisabato ni Moja ya amri kubwa na kuu wanaamini wameagizwa kuifuata na Mungu wao wakirejelea Torati ya Musa katika Biblia, katika Kutoka 20:8-11
Tunafahamu kuwa serikali huenda ilifanya kwa bahati mbaya kwa kusahaukundi hili la Wasabato. Na hatutaki kuamini kuwa imefanywa makusudi bila kujali au kwa kudharau Wasabato kwa Sababu zozote zile.
Wasabato sio Watu wakujihusisha na mambo ya siasa na kiserikali na hii huenda ni Moja ya sababu ya wao kusahaulika hata kwa mambo muhimu kama ya Ajira.
Mimi Kama Taikon Master, ambaye ni Msabato. Baada ya kupewa taarifa hiyo kwa kweli nilisikitika Sana. Nikaona kuinyamazia inaweza kujirudia na kuwafanya Wananchi wa Kitanzania, wanaoabudu katika dhehebu la Wasabato wanaweza kukosa Haki Yao kwa wakati Mwingine.
Serikali kupitia Wizara husika, ifuatilie Jambo hilo na kulifanyia marekebisho.
Taikon Acha nipumzike sasa.
Kesho tukutane, KANISA LA MWENGE SDA, DAR ES SALAAM.
SABATO NJEMA
Ndio hivyo waweze kuwajali hata wafanye siku nyingin ,nilikuwa nafikiria ni chaguo la mwisho.Ninsahihi ni pamoja na kutenda kama hivyo, kuweka ratiba hata hizo weekend ni namna mojawapo ya kujali.
Kama wewe unajiona ni msabato subiria usaili utakaofanywa j3/ijumaa. Uzuri kuna hizo flexbility.
Kwanza ni matukio yanayotokea mara chache, ni sawa na dharura nyingine tu zinawafanya msiende sabato.
Ule sio utaratibu wa kudumu kusema umeondoa haki yenu ya kuabudu.
Hakuna kitu kama hicho.Hawa Wasabato waliwahi kuwa deregisterd pale SAUT kipindi cha VC Father Dk. Kitima na DVCA (Sasa Baba Askofu) Dk. Bernidine Mfumbusa walipokataa kufanya mitihani yao ya UE siku ya Jumamosi!
Ni swali tuu 😃Kabla sjajibu swali lako, kwa nini umeniuliza😅😅?
hapana nakukatalia. staff mwenzetu alikua mkatolik akahamia kuwa mlokole.na jinsi navyomuona ana adherence na dini ni so different na other Christians. yule hata kuongea uongo anaogopa na anafunga siku 3 bila kula wala kunywa na maombi juu. na anashuhuda yanajibu.Kitulize dogo. Hujui kitu. Hao ni cult wanatuattack kila jumamosi. Hawajielewi, kasome historia yao. Ni offshoots za CIA, na masonic lobbies. Mnadhani ni watu wa maana. Ogopa vidini vilivochipuka kutoka kwa watu binafsi.
hapana nakukatalia. staff mwenzetu alikua mkatolik akahamia kuwa mlokole.na jinsi navyomuona ana adherence na dini ni so different na other Christians. yule hata kuongea uongo anaogopa na anafunga siku 3 bila kula wala kunywa na maombi juu. na anashuhuda yanajibu.Hawa wasabato ni kakundi kadogo sana ka watu wasiojielewa. Yesu alishaweka sabato mpya wao wapowapo tu kufata uongo wa Hellen G White.
Kiufupi walienda hadi mahakamani. Na Mahakama ikasema hao Wasabato wana haki ya kufanya UE kama wengine, LAKINI bila kuathiri ratiba ya chuo na kalenda ya TCU. Wakapangiwa tena mitihani yao JUMAMOSI! Daaadeki! Unacheza na Kanisa Moja Katoliki la Mitume! Na Wasabato wagoma tena! Hapo ndio wakawa deregisterd!!Sema huyo father alitumia ubabe tu na chuki naamini asingekubali UE ifanyike jumapili tena muda wa ibada pia huyo father alikuwa Haifa kuendesha chuo level yake ilifaa aendeshe seminar sema uzuri wangekata rufaa TCU na taasisi nyingine wangeshinda