Serikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea Haki Wahitimu waumini wa kisabato

Hakuna kitu kama hicho.
Labda huwafahamu vizuri.
Nikiwa chuoni kipindi hicho niliona "Tangazo Rasmi la Chuo". Labda kama walitudanganya. Maana tulikuwa tunaenda kucheki "supp" zetu hapo kwenye ubao wa matangazo na tangazo hilo likiwepo. Anyway, labda wewe unajua vizuri zaidi kuhusu hilo.
 

Nilikuuliza Waislam unajua Quran unawaambia nini kuhusu siku ya ijumaa hukunijibu.

Unazungumzia mambo yaliyokuzidi uelewa.
Uislam huujui, lakini unakiherehere kuutaja.

Ukristo huujui, lakini unakaza mishipa ya shingo kuzungumzia.

Usabato ndio Kabisa huuelewi lakini unatoa porojo zako.

Wewe Jambo gani unalijua ili labda kupitia Hilo tulijadili nawe uwe na Tija kwa kile unachokijua?
 
Hawa Wasabato waliwahi kuwa deregisterd pale SAUT kipindi cha VC Father Dk. Kitima na DVCA (Sasa Baba Askofu) Dk. Bernidine Mfumbusa walipokataa kufanya mitihani yao ya UE siku ya Jumamosi!
Hawa nao sometimes ni kama Waislamu tu, umekwenda kusoma chuo cha Kikatoliki, dhehebu ambalo umekua unalituhumu kiimani kila siku, unasoma hapo halafu unakuja na sheria zako za Kisabato; anyway, RC ni watu sana kwa mambo ya kijamii, kwani wakiamua pia kupika kitimoto, utawafanya nini?
 
Serikali haina dini!
Harafu maandiko yako wazi kwamba Sabato katika Agano Jipya ni ya Kupumzishwa na Kuwekwa huru mbali na Dhambi,
Mathayo11:28
Yohana8:31-36
Ambayo kila iitwayo Leo ni Sabato kwa sababu Yesu Kristo aliyekuja kutupumzisha na Dhambi yupo Leo,Jana hata Milele,
(Waebrania4:4-8)
(Waebrania13:8)
Kwa hiyo hatuhukumiwi kufanya kazi kwa hii ya Siku ya 7 ambayo haiwezi kukuweka huru mbali na Dhambi,tunayemwangalia ni Yesu,(Wakolosai2:16-18)
Kwa hiyo kupumzikà shughuli za kimwili siku ya 7 siyo Sheria tena! Sheria iliishia Msalabani!
Wagalatia3:23-29
Paulo anauliza kwa nini kuyatumikia Mafundisho Manyonge wakati Ukimwamini Kristo na Kuokolewa unakuwa umeshajulikana na Mungu?
Wagalatia4:10-11
 
Wangeenda tena wangishinda tena maana chuo sio taasisi ya mfukoni kama huyo father kitima alivyokuwa anajaribu kufanya

Cha pili ni ufinyu wa akili wa huyo kitima ndo maana nikawa najiuliza kwanini TEC huwa inakuja na matamko yasioyo na kichwa Wala miguu kumbe tatizo lilianzia Kwa huyo father
 
Me naona watu wengi humu ndani wanaongea bila kufanya tafiti mkifanya tafiti kwenye hili amtoongea kwa kejeli namna hii.
Always MUNGU adhihakiwi.
Mkasome (QURAN) tukufu
Biblia tukufu
Majibu yamo humo na maelekezo kila kitu.
 
Kuna wanangu wasabato tulikuwa nao sehemu,hata paper walikuwa wanapiga jmosi wakati wenzao walikuwa wanagoma,mkitoka hapo mnaenda kula mdudu fresh....... Hakuna watu kichefuchefu sehemu za kazi au vyuoni kama wasabato
 
Kaa kwa kutulia heshimu mamlaka.

Unataka kuleta imani zako za kidini kwenye mambo ya kiserikali.

Unafikiri serikali ni taasisi ya kidini.

Serikali haiendeshwi kwa imani za kidini.

Imani zenu za dini bakini nazo hukohuko kwenye nyumba zenu za ibada.
 
Lakini kiserikali jumamosi ni siku ya mapumziko kama ilivyo jumapili; ilikuwaje wakaitisha usaili...!!???
 
Uliomba serikali iruhusu wanafunzi wavae hijabu mashuleni waka ruhusiwa.

Sasa unataka nini zaidi?

Kwamba na jeshi liache utaratibu wake wa kimavazi, Lije lifuate imani za watu kimavazi jeshini?

Mkipewa uhuru kidogo mnataka kuvuka mipaka na kuingiza imani zenu kwenye taasisi za kiserikali zifuate matakwa yenu ya kiimani.

You ain't serious.
 
Sheria za Uislam zinazungumzia nini kuhusu siku ya ibada?
Buddha?
Hindu
Wakristo hawanaga siku ya Sabato na hawaifuati.
Siku Yao ya IBADA ni Jumapili lakini hawakatazwi kutokufanya Kazi
Unaposema wakristo hawanaga siku ya sabato ...ina maana wakristo sio wasabato ?! Ila wasabato watu poa sana kuishi nao life style yao kuliko hii mikatoliki
 
Mkuu uwe na tabia ya kusoma maneno BETWEEN LINES na kuuelewa mtiririko wa hoja .....ni kana kwamba hutulii na kufuatilia vyema nilichokiandika....wapi nimeomba serikali iruhusu hijabu majeshini?!!

Mimi ni muumini wa serikali yenye usekula tu.....


Ni tabia ya ajabu mtu kujifanya kushambulia hoja zinazotokana na ukinzani wa mabishano kichwani mwake.....

Sote ni wazalendo na usijimilikishe uzalendo peke yako na kuhofu hoja na mitazamo ya wengine kama hao ndugu zetu SDA....
 
Kama hawataki kusailiwa wasiende mkuu mambo ni mengi taasisi imetingwa na kazi nyingi kuna ijumaa wa islam ☪️ nao walalamike mkuu kuna wasaili na wasailiwa wa kiislam
 
Heshimu mamlaka.

Serikali haiwezi kuacha kufanya kazi zake kwa kigezo cha imani au dini za watu.

Kwa hiyo hata usaili ukipangwa ijumaa, jumamosi au jumapili. Usilalamike kama huyu mleta mada anayeona hapewi haki yake.

Yani anataka serikali ifanye kazi zake kulingana na imani zake.
 
Wewe huna akili kabisa
Nafikiri wewe ni :

mwendawazimu

mtu mwenye ugonjwa wa akili


Hali hii imepelekea uwe:

taahira

-enye akili zilizopumbaa na hivyo kutofanya kazi ipasavyo


Mwisho wewe ni:

chizi

mtu mwenye wazimu au mwenye akili kidogo

MIREMBE NATIONAL MENTAL HEALTH HOSPITAL (MNMH)​


 
Mamlaka ni lazima iheshimiwe....umekwenda mbali sana kwa kutuhumu hao watanzania wenzako....all and all serikali yetu adhimu ni ya KISEKULA ila watu wake wana dini zao.....

Well sisi ni watanzania ,tuko katika nchi bora kuliko zote duniani.....

Ubarikiwe sana na wikiendi njema ,aaamin !

#YetzerHatov!
 
Kama hawataki kusailiwa wasiende mkuu mambo ni mengi taasisi imetingwa na kazi nyingi kuna ijumaa wa islam ☪️ nao walalamike mkuu kuna wasaili na wasailiwa wa kiislam

Nafikiri unajadili Jambo ambalo lipo juu ya UPEO wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…