Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Hii imefungiwa baada waziri wa afya kuangalia viuno vya shemeji yake online na kusema hadharani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nilikua cna mpango wa kucheka wikendi nzima lakin hii comment yako imenichekesha sana...

Kwamba madamu Doro pia alicheki mauno ya shemela wakee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
maisha ya ndoa vipi mzee
 
Wakizifungia tutammiss sana Gwajiboy!! Maana wengi tuisubiria episode ya pili! Maana ile episode ya kwanza alituangusha sana wanaume wa mikoani!!
 
Kum
Ndio maana hazi play mamaee hawa
 
Inaanza kuwa kama Taleban sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wamechochea video za kurekodi kuwekwa kwenye social media mfanio telegram, badooo, instagram, whatssap. Kasi itawatoa huko walikojificha
 
Wameshiba TOZO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…