Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Serikali inaendekeza NGONO na kujali mambo ya kipuuzi kuliko vitu vya msingi.

Kuna Mambo mengi sana ya kufanya kuliko huo upumbavu.

Hamna walichofanya hapo labda kama uwe huna akili ya uchambuzi na maarifa hapo sawa.

Serikali inatakiwa kufanya mambo ya msingi na sio huo ujinga.
Kabisa leo nimemsikia waziri wa fedha akushindwa kujibu swali la mwandishi kwamba kwa nini serikali haitafuti new sources za mapato na kuacha kukamua watu? Kiukweli hakuwa na majibu, sasa nikajiuliza kwa nini wasishirikishe maprofesa wa uchumi, wafanyabiashara au mtu yeyote awasaidie kupata new sources lakini wawalipe??
 
Serikali ndio mwenye jukumu la kusaidia watoto wako?

Watoto wako ni jukumu lako

Inakuaje unamuamini mwanasiasa ambae ni mpumbavu kama wewe akuangalizie mwanao?

Wewe kazi yako ni nini dunia hii kama ni mpaka mwanasiasa alieoko kwenye ofisi ya serikali akusaidie wewe jukumu lako wakati yeye binafsi watoto wake ni hovyo zaidi hata ya wa kwako?

Na mwanasiasa amekosa kazi vipi mpaka afatilie watu wazima wanafanya nini kwenye simu zao private?

Unafatilia mtu mzima anaangalia picha za uchi kwenye simu yake sijui ufaidike nini na kwa lipi hasa?

Maana wewe mwanasiasa ni pumbavu,zinzi,malaya kama wanadamu wengine,kwanini unafatilia na kutumia kodi za serikali kuzuia mtu mzima kufanya mambo yake yanamuhusu yeye binafsi ya utu uzima?

Tunazungumzia watu wazima hapa,watombe,watombwe,waangalie nani anatombwa na nani,wewe una police them for what?Watu wazima ni watoto?

Na kuhakikisha mtoto hana simu ni jukumu la serikali au wewe mzazi husika?

Kama tunaenda hivi itafikia pahala serikali itafatilia nani kamtomba nani,kamtomba staili gani na kwanini na saa ngapi na kala au kunywa nini,yote hii ni nonsense!

Ni hawa viongozi kukosa kazi za kufanya za kuleta maendeleo na kusimamia hasa kinachowahusu ambacho ni to make hard decisions to change this economy na sio kuangalia leo mtu mzima mwenye miaka 30 kapitia page za ngono zipi

Nonsense kabisa
siku sio Nyingi wataleta tozo ya cha asubuhi washapoteza mwelekeo!
hawa hawa viongozi ndio wangaliaji wakubwa kuna mmoja alikuwa ana ulizia vip huna connection ata za Ulaya ata Kihindi
 
Back
Top Bottom