Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kwanini mkuu [emoji3] [emoji3]Hio idea ya kufungia website za ngono nahisi imeletwa na mama samia
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu [emoji3] [emoji3]Hio idea ya kufungia website za ngono nahisi imeletwa na mama samia
Fanya toba wewe wacha kiburi HUELEWI?Au nyie mnasababisha haya mambo
Shida wale kenge wa Telegram video zao fupi afu zina MB nyingi wanahitaji watalaamu wawasaidie ziwe kwny format ambayo ni rafiki kwa mabando yetu... Yan video dakika 1 ina mpaka MB 70Sasa tunakwenda kwenye magroup telegram tukafaidi pilau za kibongo
Kabisa leo nimemsikia waziri wa fedha akushindwa kujibu swali la mwandishi kwamba kwa nini serikali haitafuti new sources za mapato na kuacha kukamua watu? Kiukweli hakuwa na majibu, sasa nikajiuliza kwa nini wasishirikishe maprofesa wa uchumi, wafanyabiashara au mtu yeyote awasaidie kupata new sources lakini wawalipe??Serikali inaendekeza NGONO na kujali mambo ya kipuuzi kuliko vitu vya msingi.
Kuna Mambo mengi sana ya kufanya kuliko huo upumbavu.
Hamna walichofanya hapo labda kama uwe huna akili ya uchambuzi na maarifa hapo sawa.
Serikali inatakiwa kufanya mambo ya msingi na sio huo ujinga.
Tubu na umrudie Muumba wakoShida wale kenge wa Telegram video zao fupi afu zina MB nyingi wanahitaji watalaamu wawasaidie ziwe kwny format ambayo ni rafiki kwa mabando yetu... Yan video dakika 1 ina mpaka MB 70
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Sawa na kuelezea utamu wa mb.o.o wakat ww bikra, we umemjuaje uyo cherokee km sio mdau?Japo sijawahi kuangalia porn, ila Cherokee alishastaafu....siku hizi ana kampuni yake yeye mwenyewe ya hizo mambo.
NilisimuliwaSawa na kuelezea utamu wa mb.o.o wakat ww bikra, we umemjuaje uyo cherokee km sio mdau?
Dah sina group hata moja la Telegram aseeSasa tunakwenda kwenye magroup telegram tukafaidi pilau za kibongo
[emoji3][emoji3]Dah sina group hata moja la Telegram asee
Nidondoshee Link babuu hata moja
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
kwaiyo Mb zako sasa hivi zina dumIfungwee kabisaa, inamaliza sana MB hiyo naunga mkono asilimia 100 kufungwa
siku sio Nyingi wataleta tozo ya cha asubuhi washapoteza mwelekeo!Serikali ndio mwenye jukumu la kusaidia watoto wako?
Watoto wako ni jukumu lako
Inakuaje unamuamini mwanasiasa ambae ni mpumbavu kama wewe akuangalizie mwanao?
Wewe kazi yako ni nini dunia hii kama ni mpaka mwanasiasa alieoko kwenye ofisi ya serikali akusaidie wewe jukumu lako wakati yeye binafsi watoto wake ni hovyo zaidi hata ya wa kwako?
Na mwanasiasa amekosa kazi vipi mpaka afatilie watu wazima wanafanya nini kwenye simu zao private?
Unafatilia mtu mzima anaangalia picha za uchi kwenye simu yake sijui ufaidike nini na kwa lipi hasa?
Maana wewe mwanasiasa ni pumbavu,zinzi,malaya kama wanadamu wengine,kwanini unafatilia na kutumia kodi za serikali kuzuia mtu mzima kufanya mambo yake yanamuhusu yeye binafsi ya utu uzima?
Tunazungumzia watu wazima hapa,watombe,watombwe,waangalie nani anatombwa na nani,wewe una police them for what?Watu wazima ni watoto?
Na kuhakikisha mtoto hana simu ni jukumu la serikali au wewe mzazi husika?
Kama tunaenda hivi itafikia pahala serikali itafatilia nani kamtomba nani,kamtomba staili gani na kwanini na saa ngapi na kala au kunywa nini,yote hii ni nonsense!
Ni hawa viongozi kukosa kazi za kufanya za kuleta maendeleo na kusimamia hasa kinachowahusu ambacho ni to make hard decisions to change this economy na sio kuangalia leo mtu mzima mwenye miaka 30 kapitia page za ngono zipi
Nonsense kabisa
Hahahaha.....Japo sijawahi kuangalia porn, ila Cherokee alishastaafu....siku hizi ana kampuni yake yeye mwenyewe ya hizo mambo.
Ingia twitter kuna mtu anaitwa chanuo 008, utanishukuruSasa GB zangu zitaishaje [emoji27]
Hio idea ya kufungia website za ngono nahisi imeletwa na mama samia
Mzee ushafika monopause ya kiume kausha.. sio kila cha kuchangiaHiv mtu Mzima na akili zake anaweza kuangalia huo ujinga kuna nn cha ziada ambacho hakijulikani
Njoo inboxDah sina group hata moja la Telegram asee
Nidondoshee Link babuu hata moja
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app