Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Serikali imechelewa sana, ilitakiwa kufanya hivyo toka zamani. Wenzetu wachina walifungia kirambo saaaana.
 
Tangazo!!! Tangazo!!! Tangazo!!!

Chama Cha Wapiga Nyeto (CHAPUTA) kutakua na kikao cha dharura siku ya kesho Jumamosi (Tarehe 21/08/2021). Kikao kitafanyika katika ukumbi wa JamioForums majira ya saa 10 Alasiri.

Mukhtasari na madhumuni ya kikao ni;

1) Kujua chanzo na sababu ya Serikali ya SSH kutufanyia vikwazo na hujuma juu ya hatama ya chama chetu.

2) Athari zitakazo kikumba chama cha CHAPUTA kutokana na vikwazo na hujuma hizo.

3) Njia za kuchukua dhidi ya hujuma hizi kwa chama chetu.

4) Hatua stahiki za kumchukulia Waziri husika wa mawasiliano.

Nyote mnakaribishwa, ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwenzako.

Katibu Mwenezi CHAPUTA.
 
Bila Pornhub na Porn Site Mambo hayaendi kabisa tushazoea baada ya kutoka kwenye pilapila za kutafuta hela tunapumzika nyumbani huku tukiburudika kuangalia Porno

Raha tunazipata kwa kuangalia Porno sasa walivyofungia dah tunakosa mengi sana
Tunanyimwa haki yetu ya Kuangalia porno
Tumia VPN
 
Tangazo!!! Tangazo!!! Tangazo!!!

Chama Cha Wapiga Nyeto (CHAPUTA) kutakua na kikao cha dharura siku ya kesho Jumamosi (Tarehe 21/08/2021). Kikao kitafanyika katika ukumbi wa JamioForums majira ya saa 10 Alasiri.

Mukhtasari na madhumuni ya kikao ni;

1) Kujua chanzo na sababu ya Serikali ya SSH kutufanyia vikwazo na hujuma juu ya hatama ya chama chetu.

2) Athari zitakazo kikumba chama cha CHAPUTA kutokana na vikwazo na hujuma hizo.

3) Njia za kuchukua dhidi ya hujuma hizi kwa chama chetu.

4) Hatua stahiki za kumchukulia Waziri husika wa mawasiliano.

Nyote mnakaribishwa, ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwenzako.

Katibu Mwenezi CHAPUTA.
😂😂😂polepole
 
Ahaaaaaa eti "kutoka kwenye pila pila" bila shaka ushajilipua na nyeto
 
Habari wadau..!
Binafsi sio muangaliaji wa hizo picha wala video huko nilishapita zamani na nimeoa nina familia ila mara moja moja huwa naingiaga ili kufanya review ya mapigo mapya ya kupractice katika yalee mambo yetu ya mshedede.

Nasikia S/kali imezuia hii mitandao ya XXX binafsi nipo na mtazamo tofauti naona kama ss S/kali imeanza kuongozwa kidini wakati serikali yetu inajitanabaisha kwamba haina dini,nadhani huku ni kuingilia uhuru wa watu kitu ambacho si kizuri .
Kumbe kuna dini zinaruhusu kuangalia ngono?!
 
Mnakopi staili? Kwani hao wenzenu wanakopi wapi? Nyie sio wabunifu au ni waoga wa kupigiwa nje.

Sote tumetenda dhambi, Tutubu na Kurejea Kwa Mungu.
Tulia wee haujui kitu ,mule ndio wanandoa tunapata yake mapigo ya mwana unikome ili kulinda ndoa zetu😂😂😂
 
Back
Top Bottom