Serikali: Kwa jiji la Dar es Salaam sasa darasa moja wanakaa Wanafunzi 35 - 40 tofauti na awamu iliyopita ambapo walikaa 70 - 80

Serikali: Kwa jiji la Dar es Salaam sasa darasa moja wanakaa Wanafunzi 35 - 40 tofauti na awamu iliyopita ambapo walikaa 70 - 80

Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
JPM anastahili sifa! Kikwete aliwaacha watoto wakikaa mavumbini tangu darasa la kwanza hadi la 7, na akaendselea kupiga smile tu!
 
Hongera Sana kwa Rais Mama Samia kwa kupunguza uhaba wa madarasa katika jiji letu pendwa
 
Hongera Sana kwa Rais Mama Samia kwa kupunguza uhaba wa madarasa katika jiji letu pendwa
Munaliita jiji!! Yaani Dar ni jiji? Tembea uone. Jiji gani unakutana na mbuzi wa Shekh mitaa ya samora? Au kwa kuwa unaona taa za umeme?
 
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika jiji lake kwa sasa darasa moja wanakaa wanafunzi kati ya 35 hadi 40 ndio maximum. Shauri amesema katika awamu iliyopita darasa moja lilichukua kati ya wanafunzi 70 hadi 80.

Shauri amemshukuru sana Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye madarasa ambapo Jiji lake sasa linajenga shule 16 mpya zote za ghorofa.

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama.

Safi Sana,tuendelee hivi hivi kila mwaka tusitegemee zimamoto iliyokuwa inatepelekea watoto wa maskini kuanza shule kwa mafungu
 
Mama yuko kazini kajenga madarasa 15,000 Nchi nzima

Screenshot_20220106-103150.png
 
Kwahiyo Jiwe alikua anatupiga changa ls macho?

Lakini hayo madarasa licha ya miaka 60 ya uhuru ni mkopo !?
 
Shida walimu hawapo. Sasa hivi hata wakiajiri walimu laki moja bado hawatoshi
 
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika jiji lake kwa sasa darasa moja wanakaa wanafunzi kati ya 35 hadi 40 ndio maximum. Shauri amesema katika awamu iliyopita darasa moja lilichukua kati ya wanafunzi 70 hadi 80.

Shauri amemshukuru sana Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye madarasa ambapo Jiji lake sasa linajenga shule 16 mpya zote za ghorofa.

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama.

Kabla ya awamu iliyopita ilikuwaje kwanza ??
 
Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Kama ni kwa jpm pamoja mkuu mimi nilidhani umemuunganisha na mteuzi wa ridhiwan.
 
Unafiki ni kitu kibaya sana.
Watu wa Dar wameshasahau mara hii ile amri iliyotolewa na JPM ikawabidi wajenge shule mchana na usiku? Watu walikuwa wamebweteka na kuona upungufu wa madarasa ni kitu cha kawaida, leo hii wanaiponda awamu ya tano!
Unafiki ni ugonjwa wa hatari sana, tusipokuwa makini utaliangamiza taifa letu.
 
Jiji la Dar es salaam lilikuwa linaongozwa na Chadema!
Mkurugenzi wa jiji alikuwaCHADEMA, na je Mkuu wa mkoa naye alikuwa CHADEMA? Umesahau kuwa mkuu wa mkoa alikuwa anatamba kuwa yeye ndiye anamiliki kila kitu ndani ya jiji na Meya alikuwa anamiliki mgambo tu?
 
ACHENI maneno maneno.
Njooni hapa shule ya Upendo kesho tarehe 19/1/2022 hapa Mbezi mwisho.
Darasa la pili wako watoto 400 wanarundikwa kwenye vyumba vitatu.
Kila chumba kina wanafunzi 130.

ACHENI UNAFIKI. NINYI MMETEMBELEA OLIMPIO, BUNGE NA MNAZI MMOJA.
NJOONI HUKU WANAKOKAA WANANCHI.
NA NINYI WAANDISHI WA HABARI, MSIANDIKE HABARI ZA KUAMBIWA NA VIONGOZI AMBAO HAWAKUPIGIWA KURA HALALI KABLA YA KWENDA KUANGALIA SITUATION ON THE GROUND.

KARIBUNI UPENDO NA MBEZI SHULE ZILIZOPO MBEZI LUIS, WILAYA YA UBUNGO. DAR
 
Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Labda nikuongezee the same amount iliombwa WB na Magufuli kwa malengo hayahaya lakini nakumbuka Zitto Kabwe aliwaandikia WB barua kuwaomba kuzuia mkopo kwa kuwa watoto wajawazito hawakuruhusiwa kuendelea na masomo
 
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika jiji lake kwa sasa darasa moja wanakaa wanafunzi kati ya 35 hadi 40 ndio maximum. Shauri amesema katika awamu iliyopita darasa moja lilichukua kati ya wanafunzi 70 hadi 80.

Shauri amemshukuru sana Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye madarasa ambapo Jiji lake sasa linajenga shule 16 mpya zote za ghorofa.

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama.

Muulize wameajiri walimu wapya? baada yakuongeza vyumba vya madarasa kimsingi wameokoa mrundikano lakini wameongeza uhitaji wa walimu wa ziada kufidia kwenye madarasa mapya.
 
Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Kweli hayo ndio wanaita mahaba niue,yani madarasa yajengwe na mama samia halafu sifa apewe mtu ambae wakati ujenzi unafanyika yeye yupo kaburini!
 
Kwako nchi ni dar es salaam tu tena kwa miaka zaidi ya arobaini. Tanzania na afrika tuna aina mpya za ukichaa.
Sasa wewe huyo anayetoa ripoyi hiuo ni kiongozi wa mkoa wa dar,ataripoti vipi taarifa ya nchi nzima?kila kiongozi wa mkoa anatoa ripoti ya mkoa wake,hebu acha utaahira

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom