Serikali: Kwa jiji la Dar es Salaam sasa darasa moja wanakaa Wanafunzi 35 - 40 tofauti na awamu iliyopita ambapo walikaa 70 - 80

Serikali: Kwa jiji la Dar es Salaam sasa darasa moja wanakaa Wanafunzi 35 - 40 tofauti na awamu iliyopita ambapo walikaa 70 - 80

Hii kushukuru watu (GoT) kutimiza wajibu wake Kama hisani sio sawa
 
Nakumbuka enzi nasoma mwalimu alikua anachanganya mkondo A,B na C kwenye darasa moja ili afundishe wote kwa pamoja, waliangalie na swala la walimu pia.
 
Uwongo usiandike jambo hujafanya utafiti darasa moja BENJAMINI HIGH SCHOOL WANAKAA WANAFUNZI 65 MSIMBAZI SEC WANAKAA 102 KARUME PR WANAKAA 85 MPAKA 90 usitudanganye
 
ACHENI maneno maneno.
Njooni hapa shule ya Upendo kesho tarehe 19/1/2022 hapa Mbezi mwisho.
Darasa la pili wako watoto 400 wanarundikwa kwenye vyumba vitatu.
Kila chumba kina wanafunzi 130.

ACHENI UNAFIKI. NINYI MMETEMBELEA OLIMPIO, BUNGE NA MNAZI MMOJA.
NJOONI HUKU WANAKOKAA WANANCHI.
NA NINYI WAANDISHI WA HABARI, MSIANDIKE HABARI ZA KUAMBIWA NA VIONGOZI AMBAO HAWAKUPIGIWA KURA HALALI KABLA YA KWENDA KUANGALIA SITUATION ON THE GROUND.

KARIBUNI UPENDO NA MBEZI SHULE ZILIZOPO MBEZI LUIS, WILAYA YA UBUNGO. DAR
Huko sio Jiji la Dar es salam mkuu muwe mnaelewa au mmesahau mabadiliko yaliyofanywa na shujaa wetu. Huko ni Halmashauri ya Ubungo, hadhi sawa kama namtumbo tu au Kilindi😆
 
Nonsense, Kama walimu wapya hawajaajiriwa, wanawezaje kumanage madarasa yote??

pia kwa elimu hii ya kufundisha Ngoni migration, hata kila mwanafunzi akiwa na darasa lake haisaidii kitu
 
ACHENI maneno maneno.
Njooni hapa shule ya Upendo kesho tarehe 19/1/2022 hapa Mbezi mwisho.
Darasa la pili wako watoto 400 wanarundikwa kwenye vyumba vitatu.
Kila chumba kina wanafunzi 130.

ACHENI UNAFIKI. NINYI MMETEMBELEA OLIMPIO, BUNGE NA MNAZI MMOJA.
NJOONI HUKU WANAKOKAA WANANCHI.
NA NINYI WAANDISHI WA HABARI, MSIANDIKE HABARI ZA KUAMBIWA NA VIONGOZI AMBAO HAWAKUPIGIWA KURA HALALI KABLA YA KWENDA KUANGALIA SITUATION ON THE GROUND.

KARIBUNI UPENDO NA MBEZI SHULE ZILIZOPO MBEZI LUIS, WILAYA YA UBUNGO. DAR

Baeleze baelewe baache kusifia
 
Stori za awamu zimekua nyingi, kila awamu mafanikioo ... Aya bhanaaaa
 
Natamani vile vipindi vya TBCCM virudi
1. Kishindo Cha awamu hii
2. Tunatekeleza
Hivi mbona vilizimwa Kama mshumaa baada ya tukio?
 
Wanafunzi 40 kila darasa je waalimu wa kuzunguka darasa kwa darasa anafata hao wanafunzi 40 wapo wapi??? Mwalimu akisema aingie mkondo mmoja wa wanafunzi 40 kisha aende mwingine na mwingine na mwingine hadi kuisha si waalimu na wanafunzi watalala hapo shuleni. Emu serikali itoe ajira kwa waalimu waliopo kitaaa hali ni mbaya sana
 
Fimbo ya asali mimi nasema kama mtanzania yeye haoni kama matatizo yapo kila mahali halafu anazungumzia eneo moja tu tanuaga akili we mwalimu wa mataahira. Sasa aje na wa shinyanga aseme yake
 
Back
Top Bottom