robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
JPM anastahili sifa! Kikwete aliwaacha watoto wakikaa mavumbini tangu darasa la kwanza hadi la 7, na akaendselea kupiga smile tu!Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Iliyopita ni ya 5 (kwa hadithi za CCM) zilizopita ni 5,4,3,2,1.Kwani awamu iliyopita ni lini?
Jiji au mkoa?Hongera Sana kwa Rais Mama Samia kwa kupunguza uhaba wa madarasa katika jiji letu pendwa
Munaliita jiji!! Yaani Dar ni jiji? Tembea uone. Jiji gani unakutana na mbuzi wa Shekh mitaa ya samora? Au kwa kuwa unaona taa za umeme?Hongera Sana kwa Rais Mama Samia kwa kupunguza uhaba wa madarasa katika jiji letu pendwa
Safi Sana,tuendelee hivi hivi kila mwaka tusitegemee zimamoto iliyokuwa inatepelekea watoto wa maskini kuanza shule kwa mafunguMkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika jiji lake kwa sasa darasa moja wanakaa wanafunzi kati ya 35 hadi 40 ndio maximum. Shauri amesema katika awamu iliyopita darasa moja lilichukua kati ya wanafunzi 70 hadi 80.
Shauri amemshukuru sana Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye madarasa ambapo Jiji lake sasa linajenga shule 16 mpya zote za ghorofa.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Kabla ya awamu iliyopita ilikuwaje kwanza ??Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika jiji lake kwa sasa darasa moja wanakaa wanafunzi kati ya 35 hadi 40 ndio maximum. Shauri amesema katika awamu iliyopita darasa moja lilichukua kati ya wanafunzi 70 hadi 80.
Shauri amemshukuru sana Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye madarasa ambapo Jiji lake sasa linajenga shule 16 mpya zote za ghorofa.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
2025Hongera Sana kwa Rais Mama Samia kwa kupunguza uhaba wa madarasa katika jiji letu pendwa
Kama ni kwa jpm pamoja mkuu mimi nilidhani umemuunganisha na mteuzi wa ridhiwan.Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Mkurugenzi wa jiji alikuwaCHADEMA, na je Mkuu wa mkoa naye alikuwa CHADEMA? Umesahau kuwa mkuu wa mkoa alikuwa anatamba kuwa yeye ndiye anamiliki kila kitu ndani ya jiji na Meya alikuwa anamiliki mgambo tu?Jiji la Dar es salaam lilikuwa linaongozwa na Chadema!
Labda nikuongezee the same amount iliombwa WB na Magufuli kwa malengo hayahaya lakini nakumbuka Zitto Kabwe aliwaandikia WB barua kuwaomba kuzuia mkopo kwa kuwa watoto wajawazito hawakuruhusiwa kuendelea na masomoKaripoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Muulize wameajiri walimu wapya? baada yakuongeza vyumba vya madarasa kimsingi wameokoa mrundikano lakini wameongeza uhitaji wa walimu wa ziada kufidia kwenye madarasa mapya.Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika jiji lake kwa sasa darasa moja wanakaa wanafunzi kati ya 35 hadi 40 ndio maximum. Shauri amesema katika awamu iliyopita darasa moja lilichukua kati ya wanafunzi 70 hadi 80.
Shauri amemshukuru sana Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye madarasa ambapo Jiji lake sasa linajenga shule 16 mpya zote za ghorofa.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Kweli hayo ndio wanaita mahaba niue,yani madarasa yajengwe na mama samia halafu sifa apewe mtu ambae wakati ujenzi unafanyika yeye yupo kaburini!Karipoti mkurugenzi wa jiji la Dar mkuu, hawezi kuongelea mikoa/miji mingine ambayo haipo kwenye mamlaka yake.
Back to the topic; kwangu mimi issues za madarasa tuweni wakweli, mwenye uthubutu hu sio awamu hi, ni JPM huyu ndio muasisi; changamoto alizozikuta na jinsi alivyo tatua kwa muda mfupi zilikua nyingi.
Sasa wewe huyo anayetoa ripoyi hiuo ni kiongozi wa mkoa wa dar,ataripoti vipi taarifa ya nchi nzima?kila kiongozi wa mkoa anatoa ripoti ya mkoa wake,hebu acha utaahiraKwako nchi ni dar es salaam tu tena kwa miaka zaidi ya arobaini. Tanzania na afrika tuna aina mpya za ukichaa.