Jifungie wewe sisi tuache tuendelee na maisha yetu. Mlitaka Kili Marathon isifanyike ili nyinyi na mabwana zenu mtoe taarifa kuwa Kili Marathon haikufanyika kwa sababu ya corona.Tatizo moja tulilonalo watanzania, huwa tukiwaza korona tunafikiria mtu mmoja mmoja huwa hatuwazi hatari ya huyo mtu mmoja kwa wengine....
Unasikitika kwa lipi mkuu? Ungekuwa unasikitika kwa ugonjwa wa Malaria ningekuelewa lakini Mafua!!Kuna mambo ni ya hatari na yanasikitisha sana...
Nimeona likes za mataga hapo chini kama zote,yaani namaanisha Tanzania hamnazo.Hivi mpaka leo Kuna watu wanaamin barakoa zinasaidia eeh
Me nawashaur tu ikiwezekana hameni nchi nenden huko wanakoo vaa hizo barakoa na hawana misongamano
Kwa usalama wenu zaidi
Yaan tatizo watu hatuna shukran tunaangalia upinzan tu anayetupony corona ni MUNGU sio hizo barakoa
Unataka kuniambia hujawahi kuumwa kichwa,viungo na mafua katika kipindi Cha miaka miwili hii?Wao wasipoathirika, watabeba virusi na kuja kuambukiza wazee na watoto ambao nao wataenda kuambukiza family members na community zao mitaani.
Ugonjwa una side mbili. Athari kwa mhusika mwenyewe au la basi mhusika kuambukiza wengine
Covid sio ugonjwa hatari, umekuwa overated, nimeugua huu ugonjwa mara 2 na sasa nahisi naumwa corona nasubiria tu harufu ikate nianze dose. Mara zote 2 sikunywa dawa yoyote na nimepona. Death rate ni asilimia 3 ya waathirika wote hivo 3% ni ndogo sana.
View attachment 1714198
Na juzi kati Viongozi wetu walikuwa na ziara Jijini Dar na mikutano kadhaa ya mikusanyiko. Hilo nalo ni sahihi?Wewe unazumgumzia nini subiri hutaona chochote huku Dar mbona Uwanja wa Taifa huwa tunaangalia mechi na hakuna tatizo lolote