Serikali lazima itambue BAKWATA ni dhehebu moja tu miongoni mwa madhehebu ya Kiislamu, wala BAKWATA haina haki wala sifa ya chombo cha Waislamu

Serikali lazima itambue BAKWATA ni dhehebu moja tu miongoni mwa madhehebu ya Kiislamu, wala BAKWATA haina haki wala sifa ya chombo cha Waislamu

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Kupitia jukwaa hili naomba, kuifahamisha Serikali...na isijifanye hailioni hili...

BAKWATA ni dhehebu la TWARIQA, miongoni mwa madhehebu tu kama vile lilivyo, HIZB TAHRIIR, TABLIIGH, SALAFY, SHIA...

Ndio maana hata namna yao ya kuendesha mambo yao na uteuzi wa watu wao kuanzia Mufti mpaka imaam wa msikiti lazima uwe MTU WA TWARIIQA...Huwezi kuwa hata MUADHINI MSIKITINI usipokuwa TWARIIQA.

Je ina haqi gani ya kujifanya baraza la WAISLAAM na kukasimishwa mambo ya waislaam wao...

Wengi walioko Bakwata ni wajanja wajanja tu waliojifunza kiarabu zaidi na kuwa mtu unayetembea na masheikh zao wa twariqa kwenda kwenye dhikr mbalimbali basi utapewa nafasi Bakwata..

Ndio waliopo hata kwenye zinazoitwa Mahakama za Qadhi...

Haakim wa MAHAKAMA YA QADHI...lazima mtu awe mtu aliyebobea katika sheria ya kiislaam kwa kauli mbalimbali za wanachuoni wanaotegemewa katika UISLAAM...

Lakini wamepewa uqadhi Mamuriid...na wazee waliozeeka na ujinga wao...na wala sio elimu...

Sisi katika UISLAAM ELIMU MBELE ZAIDI YA UMRI...

KWA SABABU UMRI SIO DALILI YA HEKIMA NA BUSARA...KWA SABABU HATA WAJINGA NA WAPUMBAVU HUZEEKQ VILEVILE...

Ila bakwata wale wazee wa Al faatiha msikitini na wajanja wajanja wasio na elimu ya dini waliofeli elimu ya shule...kwakuwa baba zao walikuwa masheikh...wakaona palipobaki ni huku...kwa connection za wazee wao na waliopo bakwata...ndio maana MASUALA YA NDOA YA KINA MAMA YAMEKITHIRI KWENYE OFISI ZAO BILA MSAADA WOWOTE KWA AKINA MAMA HAO WENYE KUDHULUMIWA.

WITO KWA SERIKALI INABIDI IITAMBUE CHOMBO CHA BAKWATA KAMA VILE WANAVYOTAMBUA JUMUIYA ZINGINE ZA DINI...

Haiwezekani misikiti ikiwa na migogoro kidogo tu ikabidhiwe BAKWATA.

BAKWATA SIO CHOMBO CHA WAISLAAM WOTE...BALI NI KIKUNDI TU CHA DHEHEBU MOJA. IBAKI HIVYO.
 
Unataka serikali itambuaje kivipi, unafikir haijui???? Kwa taarifa yako hili Jambo haliko kimakosa
 
Kupitia jukwaa hili naomba, kuifahamisha Serikali...na isijifanye hailioni hili...

BAKWATA ni dhehebu la TWARIQA, miongoni mwa madhehebu tu kama vile lilivyo, HIZB TAHRIIR, TABLIIGH, SALAFY, SHIA...

Ndio maana hata namna yao ya kuendesha mambo yao na uteuzi wa watu wao kuanzia Mufti mpaka imaam wa msikiti lazima uwe MTU WA TWARIIQA...Huwezi kuwa hata MUADHINI MSIKITINI usipokuwa TWARIIQA.

Je ina haqi gani ya kujifanya baraza la WAISLAAM na kukasimishwa mambo ya waislaam wao...

Wengi walioko Bakwata ni wajanja wajanja tu waliojifunza kiarabu zaidi na kuwa mtu unayetembea na masheikh zao wa twariqa kwenda kwenye dhikr mbalimbali basi utapewa nafasi Bakwata..

Ndio waliopo hata kwenye zinazoitwa Mahakama za Qadhi...

Haakim wa MAHAKAMA YA QADHI...lazima mtu awe mtu aliyebobea katika sheria ya kiislaam kwa kauli mbalimbali za wanachuoni wanaotegemewa katika UISLAAM...

Lakini wamepewa uqadhi Mamuriid...na wazee waliozeeka na ujinga wao...na wala sio elimu...

Sisi katika UISLAAM ELIMU MBELE ZAIDI YA UMRI...

KWA SABABU UMRI SIO DALILI YA HEKIMA NA BUSARA...KWA SABABU HATA WAJINGA NA WAPUMBAVU HUZEEKQ VILEVILE...

Ila bakwata wale wazee wa Al faatiha msikitini na wajanja wajanja wasio na elimu ya dini waliofeli elimu ya shule...kwakuwa baba zao walikuwa masheikh...wakaona palipobaki ni huku...kwa connection za wazee wao na waliopo bakwata...ndio maana MASUALA YA NDOA YA KINA MAMA YAMEKITHIRI KWENYE OFISI ZAO BILA MSAADA WOWOTE KWA AKINA MAMA HAO WENYE KUDHULUMIWA.

WITO KWA SERIKALI INABIDI IITAMBUE CHOMBO CHA BAKWATA KAMA VILE WANAVYOTAMBUA JUMUIYA ZINGINE ZA DINI...

Haiwezekani misikiti ikiwa na migogoro kidogo tu ikabidhiwe BAKWATA.

BAKWATA SIO CHOMBO CHA WAISLAAM WOTE...BALI NI KIKUNDI TU CHA DHEHEBU MOJA. IBAKI HIVYO.
Wanaoteka watu wangekuwa wanamalizana na radicals kama hawa wasopenda amani,ni mwendo wa kukabidhiwa bikra 72 tu,shubamiti
 
Wanaoteka watu wangekuwa wanamalizana na radicals kama hawa wasopenda amani,ni mwendo wa kukabidhiwa bikra 72 tu,shubamiti
Kuwa tofauti na bakwata sio u-radical..makundi kama alqaida, isis, n.k yapo mbali na mafundisho sahihi ya uislam. Lakini hao bakwata wazee wa TWARIQA wengi wao ni washirikna sana wanafanya uganga na ulozi alafu mambo ya msingi ya waislam eti wanapewa wao..ni uonevu
 
Shekhe nani yule mwanaharakati Kasema anaiburuza mahakamani hiyo Bakwata.
 
Kuwa tofauti na bakwata sio u-radical..makundi kama alqaida, isis, n.k yapo mbali na mafundisho sahihi ya uislam. Lakini hao bakwata wazee wa TWARIQA wengi wao ni washirikna sana wanafanya uganga na ulozi alafu mambo ya msingi ya waislam eti wanapewa wao..ni uonevu
Waislam washirikina sana wànàfanya uganga na ulozi......!
Kweli hayo,?
 
Waislamu msipende kutupa lawama kwa Serikali, serikali haijawahi kuwazuia kuunda chombo kingine kinacho waunganisheni nyie, shida ni gharama za uendeshaji wa vyombo vyenu; mngependa chombo mtakacho kiunda kigharamiwa na serikali, that's where the problem is; mwishoni mwa miaka ya 80 mliunda chombo kinaitwa BARUKTA, why kilikufa? Serikali haijawahi kuwazuia kuunda any of them, make it now na mkasajiri na mgharamie wenyewe, simple as that
 
Back
Top Bottom