Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,606
- 6,672
Kinachokanushwa ni alichoongea Lissu hapa: Uchaguzi 2020 - Mgombea Urais kukutana na wasimamizi wa uchaguzi kipindi cha Kampeni inakubalika kisheria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ununuzi wa ndege mmekanusha kwamba ni uongo bunge ndio walipitisha kwenye budgetMtakanusha kila kitu Mwaka huu
Hamuwezi kukubaliKinachokanushwa ni alichoongea Lissu hapa: Uchaguzi 2020 - Mgombea Urais kukutana na wasimamizi wa uchaguzi kipindi cha Kampeni inakubalika kisheria?
View attachment 1582422
View attachment 1582423
Wanajua watanzania wa leo ni wale wa miaka ile ya kipindi cha Nyerere!! They know each and everything.Sisi tunajua ma wakurugenz wapo na MEKO
Kila wizara itatoka mapangoni walikojificha mwaka huu,Mtakanusha kila kitu Mwaka huu
hahahaaaaaaaaaaMtakanusha kila kitu Mwaka huu